Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Kuna dili nimepewa ila nimekosa Hio pesa, Kuna nyumba ipo arusha inauzwa milioni 100, Ina wapangaji kampuni ya wahindi ambayo imesajiliwa wameikodi Hio nyumba, Wana zaidi ya miaka 8 wamekodi Hio nyumba, wanalipa Kodi milioni 9 Kila mwaka na wanalipa kwa mkupuo
Kama Kuna mtu anataka kuinvest hela yake awe anapokea 9M Kila mwaka huku thamani ya jengo lake likizidi kupanda Ani Pm... Nakuunganisha na mhusika Moja kwa moja hakuna mtu wa kati, nyumba Ina hati ya wizara hakuna longolongo.....
Natumiwa picha ntazipandisha huku
Kama Kuna mtu anataka kuinvest hela yake awe anapokea 9M Kila mwaka huku thamani ya jengo lake likizidi kupanda Ani Pm... Nakuunganisha na mhusika Moja kwa moja hakuna mtu wa kati, nyumba Ina hati ya wizara hakuna longolongo.....
Natumiwa picha ntazipandisha huku