shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Ukombozi umehitimu mwaka gani.Hapo ukombozi primary kwa mwalimu Ibrahimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukombozi umehitimu mwaka gani.Hapo ukombozi primary kwa mwalimu Ibrahimu
Ulikuwepo mwaka gani urbMkuu,
Umenikumbusha mbali Sana those days nikiwa kwenye hiyo ardhi Asante MUNGU mission ili be completed na mwenyezi Mungu alikua mwema kwangu.
Powaa mkuu nimekupataHuyo anaitwa salum mashaka kimenya sio kumenya hana uhusiano na hao kina kumenya .salumu kimenya nimesoma nae urambo day kamaliza mwaka 2007
Mzee ulikuwepo urb mwaka gani da kitambo sana.Powaa mkuu nimekupata
Sijasoma hapo ukombozi Ila huko ndio kwenye ardhi ya mababu zangu nilikua huko kwa mission maalum 2005 mpk 2009Ukombozi umehitimu mwaka gani.
Kuna kimenya na kumenyaMkuu,
Huyu bwana mdogo salum kumenya anaye chezea prisons ya mbeya Na yeye anahusika kwenye huo ukoo..
Kwa msabilaNimesoma Urambo, ukombozi primary school.
Kitambo saana.
Hatupishani sana mm pia nilikuwa hapo 2006-2009 ila baada ya hapo nimekuwa nikienda na kurudi hapo nikama nyumbani .kuna jamaa anaitwa david chambara sijui yuko wapi.mitaa ya sita nilikuwa napita sana naenda boma village kulikuwa na demu wanguSijasoma hapo ukombozi Ila huko ndio kwenye ardhi ya mababu zangu nilikua huko kwa mission maalum 2005 mpk 2009
So napajua nje ndani mitaa yangu ilikua hapo kwa marehemu samwel sitta kwa rafik yake marehemu mzee chambala nimekaa sanaa hayo maeneo
Sio salumu kumenya ni salumu kimenya.Kuna kimenya na kumenya
Salum kumenya mchezaji na kimenya mfanyabiashara
Hutaona hata Mmoja ktk Nchi hii.Mwambie atabiri ni mwaka gani Tanzania itapata Rais anayejitambua na kuhakikisha wananchi wote wanafurahia kuwa raia wa nchi hii.
Hahahaha wajinga ndio waliwao yani hadi mnafata utabairi wa vifo duu kweli mna utindio wa ubongoMke wa elidadi ni mweupe mfupi mnene alikuwa anaimba kwaya ya victoria ya hapohapo pentekoste.hiyo kways imegawanyika kwasasa baada ya pentekoste kujenga kanisa broko
Kumbe unamjua bwana mdogo etuHatupishani sana mm pia nilikuwa hapo 2006-2009 ila baada ya hapo nimekuwa nikienda na kurudi hapo nikama nyumbani .kuna jamaa anaitwa david chambara sijui yuko wapi.mitaa ya sita nilikuwa napita sana naenda boma village kulikuwa na demu wangu
Msabila Kama sikosei alikua ukombozi secondaryKwa msabila
Sasa kumenya ninayemuulizia anaishi jirani na shule ya azimio, mitaa ya uzunguni. Kusema kweli natamani sana kujua kwa undani kuhusu huduma yao na umoja wao pia hasahasa mtumishi Eldadi.Msabila Kama sikosei alikua ukombozi secondary
Hapo ukombozi primary Ni kwa mwalimu Ibrahimu
Ondoa shaka kuhusu eldad Ni mtumishi wa kweli wa MUNGU nimehakikishiwa Hilo na credible source of informationSasa kumenya ninayemuulizia anaishi jirani na shule ya azimio, mitaa ya uzunguni. Kusema kweli natamani sana kujua kwa undani kuhusu huduma yao na umoja wao pia hasahasa mtumishi Eldadi.
Nisasahihi kama mkeo kasoma urambo day miaka hiyo atakuwa ananijua maana nilikuwa maarufu.kuna mshikaji pia tulipiga nae day yupo kazi maalum siwezi kumtaja hapa.Kumbe unamjua bwana mdogo etu
Dogo now yupo kazi maalum..milima haikutani binadamu hukutanaa
Ukinitajia jina lako nikimwambia wife lazima atakua anakujua😊
Mengineo sio ya kuandika humu😅
Boma village ndio palikuwa makazi yangu ya muda. At least ndio palikuwa pamejengeka kidogo.Hatupishani sana mm pia nilikuwa hapo 2006-2009 ila baada ya hapo nimekuwa nikienda na kurudi hapo nikama nyumbani .kuna jamaa anaitwa david chambara sijui yuko wapi.mitaa ya sita nilikuwa napita sana naenda boma village kulikuwa na demu wangu
Okay, kuna mwalimu mmoja alikuwaga kipofu hivi...alikuwa anafundisha study za Kazi.Msabila Kama sikosei alikua ukombozi secondary
Hapo ukombozi primary Ni kwa mwalimu Ibrahimu
Nabii anatabiria watu kifo ili iwaje? Mwambie aache kupandikiza hofu, Mungu wetu ni wa amani na anatuwazia mema katika siku zetu.Naanza na eldad Ni mtumishi wa mungu mwenye karama ya unabii, maono, uponyaji yupo kanisa la Pentecoste urambo (majengo ya kaliua) Hana cheo chochote na huwa hataki vyeo huduma yake Ni kama ya mchungaji mwakasege Ni shemasi TU wa kawaida amebeba huduma kubwa ndani yake..
Umerudia zaidi ya mara4 post yakoMke wa elidadi ni mweupe mfupi mnene alikuwa anaimba kwaya ya victoria ya hapohapo pentekoste.hiyo kways imegawanyika kwasasa baada ya pentekoste kujenga kanisa broko