Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Duh! Hao kina kumenya si wapo mkubwa na mdogo? Au unamzungumzia mkubwa?
Japo nadhani wote wana maduka.

Mch flora yupo nsenda, ana kanisa kule itebulanda.
Ninachohitaji kufahamu ni kuhusu umoja wao wa meza ya duara!
Nyie watu wa Urambo bwana japo ni shemeji zangu ila hamueleweki. We upo Urambo, unakuja na Fake ID unauliza maswali ili sisi wa Nangurukuru tukujibu au unajipigia promo nini humu Nabii Flora?
 
Nabii anatabiria watu kifo ili iwaje? Mwambie aache kupandikiza hofu, Mungu wetu ni wa amani na anatuwazia mema katika siku zetu.
Mkuu,
We carry life & death huu ndio ukweli halisi..

Na hata kitabu kitakatifu biblia imekataza na kuonya OLE WAO WAIONAYO KESHO

Mimi pia siungi mkono watu wanao Iona kesho (people who saw tommorow)
 
Okay, kuna mwalimu mmoja alikuwaga kipofu hivi...alikuwa anafundisha study za Kazi.

Alikuwa pamoja na ukipofu wake alikua anatandika stik saana. Na anajua wanafunzi wote darsaani.
Around 2003-.....
Ngoja nimuulizie? Kwa wadau
Unamfahamu omari bundala,Hasan kiyungi,kimwaga Paschal,rayson Julius, salvatory simeo, Joseph adam,
 
Kuna mtu anaitwa Eldadi, mwingine ni Elia kumenya na mch. Flora! Je, ni nguvu gani wanatumia kutabiria watu vifo? Kurogwa na mambo mengine kama hayo.

Kwa anayewafahamu anisaidie
Kwani Mungu bado anawaleta manabii wengine mpaka sasa?
 
Kuna mtu anaitwa Eldadi, mwingine ni Elia kumenya na mch. Flora! Je, ni nguvu gani wanatumia kutabiria watu vifo? Kurogwa na mambo mengine kama hayo.

Kwa anayewafahamu anisaidie

Urambo mjini. Pentekoste church.
Na kama ni mwenyeji wa urambo mjini, huwezi kuacha kuwafahamu hao watu.
Mi binafsi kuna habari nazifanyia utafiti, ikiwa kuna mtu anawafahamu kwa undani

Tuma picha
 
Hao ndio Hao Hao manabii wa Urambo wanajipigia promo humu. Achana nao.

Ila huu mji wa urambo haushi maajabu

Enzi hizo niko urambo kuna mtu alikuwa wanamwitwa binti hamisi huyu bibi alikuwa na nyumba yake karibia na stesheni......

Nikiwa mdogo nilikuwa nasikiaga alikuwa anabadilisha Mavi ya mbuzi kuwa katanga
 
Back
Top Bottom