Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Nisasahihi kama mkeo kasoma urambo day miaka hiyo atakuwa ananijua maana nilikuwa maarufu.kuna mshikaji pia tulipiga nae day yupo kazi maalum siwezi kumtaja hapa.
Ivi urambo day si ndo ile shule ipo kalemela

Walikuwa wanavaa suruali za blue ukiwa stesheni urambo unaiona shule kwa mbali
 
Ngoja nimuulizie? Kwa wadau
Unamfahamu omari bundala,Hasan kiyungi,kimwaga Paschal,rayson Julius, salvatory simeo, Joseph adam,
Omari bundara na hasani kiyungi hawa wamemalizia ukombozi sekondari 2009
Ngoja nimuulizie? Kwa wadau
Unamfahamu omari bundala,Hasan kiyungi,kimwaga Paschal,rayson Julius, salvatory simeo, Joseph adam,
 
Uzi wa kuwaulizia manabii umegeuka sehemu ya watu walioishi urambo kukumbushana hbr zao
Kuna shida kwani?? Unaweza kupangia watu Nini wawaze au wafikirie 😊😊

Sometimes unaweza Soma kimya kimya au uka skip sio lazima kila Uzi uka u comment

✌️✌️✌️✌️
 
Mkuu,
Unajua watu wengi Sana wa urb hope watakua Ni age mate WAKO.............

Aisee nimeamini ule usemi milima haikutani binadamu hukutanaa
Mzee hawa tumekutana sana kwenye madiskasheni enzi hizo.omari bundara alikuwaga ameoa dada mmoja hivi anaitwa tatu salehe sijui kama wamesharudiana maana waliachanaga.huyo dada yupo dar hukohuko na omari yupo dar.
 
Omari bundara mwanzoni alikuwa anaishi kwa mzee mabruki mzee mmoja alikuwa na gereji maeneo ya majengo ya kaliua karibu na mashine za alizeti.
Mzee,
Wewe Ni noma yaan una details zoteee nimemkumbuka pia marehemu mzee mabruk alikua na kijana wa kiume ambae alikua Ni rafiki wa Omar bundala simkumbuki jina
 
Huyu jamaa anazingua sasa watu tunakumbushana habari za urambo sasa yeye anaumia .
Itabidi muanzishe thread yenu sasa ya kukumbushana. Maana mi nimewaulizia hao watu kuna taarifa za muhimu nazitafuta.
Kuna mambo mengi yananitatiza kuwahusu wao. Thus why natamani kujua watu wa huko urambo wanawafahamu vipi?
 
Back
Top Bottom