Wew unaamini miungu ya kiebrania na kufanya ni Mungu wa wote kwa sababu ulizaliwa mazingira hiyo miungu ya kiebrania ilipata nafasi ya kusemwa kutokana na matokeo ya ukoloni kwenye eneo lako.Kuamini mamno ya fikra ni dini mpya asili yake mashariki ya mbali. Unaamini miungu ya kihindi bila kujua
Hahahahaaaaah! Soma tena hiyo aya ya pili.Mkuu umechambua vitu bila kujerea topic ya kutegemea kwa viumbe hai darasa la sita .
Je wajua kwenye biblia yako hakuna sehemu iliyotaja Hadith ya Mungu aliumba giza? Kuwa giza lilikuwepo tu ndio akafanya mwanga?
Wewe hapo umeokoka. Regardless ya unakoamini.Positive mind vibe, ni sawa kabisa tunene yale yote yaliyo kwenye uzima
Mkuu labda nisome hiyo makala yako then nitarejea coz sijajua ulikusudia nini kusema kifo kinaweza kisiwepo .Hahahahaaaaah! Soma tena hiyo aya ya pili.
Mbona ni kama unakazia pointi yangu.
Giza si kitu yaani ni hamna. Ndio baada ya hapo kikaumbwa kitu kikawepo yaani mwanga. Hiyo ni kibiblia.
Hata ukiachana na hayo mambo tukarudi kisayansi unaambiwa kwamba there wasnt any.... yaani there was nothing. Halafu a few moments sijui wakachorachora manyokanyoka halafu ukawa mlipuko wa mwanga. The whole universe was filled with pure light.
Baada ya hapo ndiyo wataendelea kuelezea kunyumbuanyumbua hiyo light maana light ndiyo first thing. Hilo giza sijui nini was simply nothing.
Uliisoma chiefMkuu labda nisome hiyo makala yako then nitarejea coz sijajua ulikusudia nini kusema kifo kinaweza kisiwepo .
Kwa mantiki hiyo unaweza kuwa sahihi pia , nilijarbu kufikiri dunia is isiyo na kifo kwa kila kiumbe , then kuzaliana na kutegemeana kwa viumbe hai kuendelee.
Imani ya mbinguni siitaki mkuu wala sivutiwi napo🤣🤣 🙏ngoja nipate mda nitasoma mkuu kuhusu namna gani hakuna kifo, nmebanwa kidgo nikipta utulivu nitasoma.Uliisoma chief
Mrejesho
Hata hivyo inahitaji kwanza basic imani ya mbinguni. Sijui kama uliiona kitu au uliona ni manyokanyoka tu
Pamoja na Mafundisho ya Kiapo Cha Ndoa, Wakiristo muelewe kuwa mna wajibu wa kutetea Biblia hasa machoni pa Waislam ambao wamekuwa wakiibeza sana na wakati huo huo kukikweza sana kitabu chao Quran.Mambo yanasonga na dunia inabadilika.
Kama tuliweza kukaa na kujadili tunafanyeje kuhusu masuala ya ndoa na ubatizo wa watu wale, basi tunaweza kukaa na kujadili kuboresha mambo mbalimbali.
Siamini kama maelekezo yote yanatoka top down tu. Naamini yanaweza pia kutoka down up. Maji yakapanda mlima!!
Na kutokana na viongozi wakubwa kwa baadhi ya dini kutokuoa basi ni muhimu zaidi kusikiliza mapendekezo toka kwa walio field mojakwa moja. Kama jeshini tu.
Oneni. Katika kiapo kilichopo, kinachovuma makanisani kina mapungufu. Ukitulia ukachunguza unaona ni kama kujinenea laana iliyofichwa katika baraka za hapa na pale.
1. Tunapaswa kuamua kuwa tunachotaka katika ndoa yetu sio shida na raha (sa ndo nn) bali tunaitaka furaha tunapopitia yote ya maishani
2. Tunapaswa kuamua kujiombea maisha ya milele na sio kukipa promo kifo, ati kitutenganishe. Unajuaje kama hakuna uwezekano tukawa mabest hata huko mbinguni.
3. Umaskini na utajiri kwanza hata haimake sense.
4. Tuitake afya na tuwe na shukrani maana hata magonjwa mengi ni matokeo ya kuwa na afya. Hivyo tukubaliane kuitunza zaidi. You are never a sick person trying to regain health. You are a healthy person keeping it that way and fighting diseases (Imetoholewa toka kwa Mazed Charahani)
Ebu soma kwa utulivu hiki kiapo:
View attachment 2835614
Sie waamini, wenye imani. Ni kwa nini tusijinenee mema kila wakati. Tunaweza kuiacha kusema waziwazi. Tukaziacha imejificha hizo laana za kifo, shida, magonjwa na umasikini. Tukasisitiza zaidi katika baraka za furaha, afya na utajiri🤔
Nisiwachoshe sana pendekezo lenyewe hili hapa:
View attachment 2835616
Ps: Kwa makanisa ya kiroho, ya manabii na mitume ambao ndio maaskofu haohao naomba mlitafakari halafu muwe wa kwanza kuifanya hiyo reform. Hamnaga bureaucracy nnajua. Roho wa Bwana akaseme nanyi🙏
Muwe na siku njema
Mimi ninafahamu na nimevuka kwenye kutawaliwa na shida na raha. Nipo kwenye hatua ya kuiishi furaha katika ngazi mbalimbali za hiyo.Am still puzzled juu ya arguement ya mtoa mada kifo plus shida ni issues ambazo ni anticipated in life na kama umeoa utakuwa umexperience baadhi ya shida.
Alafu kumbuka ni jopo lilikaa likatunga iko kiapo then approved universally kutumika kanisani.
Kama unahisi zina walakini keti na paroko wako akuelimishe vyema kama utakuwa bado na maswali kuna wenye ubobevu kwenye hilo level ya PHD mapadre naweza kukulink nao
Na uwe na siku njema