muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Sikujua aisee...naona hali inazidi kwenda mrama..from X to XXX!
Mbona umejitahidi sana bana, si unaona watoto wenzio wameamua kuwa ma invizibo? Karibu tunafika. Sipiyuu mpe mama sapoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikujua aisee...naona hali inazidi kwenda mrama..from X to XXX!
Aisee halafu naona mafuta ya breki yameisha
Hebu lete hiyo tuilainishe hii spindo kuu
Abiria Lizzy naomba utuvumilie tunapaka vilainisho vya spindo halafu tutakwambia urudi ktk kiti tuendelee na sarafi
Ya kubeba mbege.Ewaaa, ya abiria (boflo) au ya kubeba mbege?
Lifti hua sipandi mie!Ila mmenichosha kweli leo!Hiyo huwezi mama, utachoka sana, jua lote hili
Miguu yenyewe ya kutembea umbali mrefu huna
Hebu panda basi lifti hii ya TATA
SI unaona gia yake ilivyo, saizi kabisa halafu ni automatic
Nikibandika DRIVE tu basi, nakufikisha fasta,
Miguu yako inabaki ku-relax juu kwa juu
Sijui niripoti abyuzi!?Nataka mhamishiwe kule kwa wakubwa ili nishuhudie mwisho wa hiyo safari yenu!
Mambo ya kudandia magari haya kha! nilipanda gari moja dereva kila saa anauliza ,nakufanyajeee, nakufanyajeee *30 lol jasho lilinitoka niliposhindwa kujibu dereva kanambia sema unanit..... heeeeeeee! mbona nilishuka kituo sio changu. Nikasema sipandi tena ki ice
Sijui niripoti abyuzi!?Nataka mhamishiwe kule kwa wakubwa ili nishuhudie mwisho wa hiyo safari yenu!
Sipiyu yuko busy huku Muhos ananiharibu macho!Mbona umejitahidi sana bana, si unaona watoto wenzio wameamua kuwa ma invizibo? Karibu tunafika. Sipiyuu mpe mama sapoti
Charger hilo bedford ndio zuri kwangu maana mie ni mkulima mazao lazima nibebe na gari kama hilo maana linamudu mizigo mizito, habari ya vouge and similar to that potelea mbali.
Ya kubeba mbege.
Mi sina makuu napenda kuendesha GX mlio kwa mbali unaweza dhani gari imesimama kumbe speed 180. ila ikitoboka eksozi utakimbia mwenyewe
Huyu abiria vipi???
Sasa ukiita traffic unamkomoa nani???
Hata safari utakuwa hufiki
Haya basi tumeshamaliza kupaka grisi
ingia ndani tuendelee na safari
Safari yenu tena mama, si na wewe umo kwenye safari tangu mwanzo? Kama viboko tunapata wote!!! lol
Sipiyu yuko busy huku Muhos ananiharibu macho!
Nawakomoa madereva msio na leseni!Kazi kupiga zigzag tu...hamstahili kua barabarani!
Sipiyu yuko busy huku Muhos ananiharibu macho!
Nawakomoa madereva msio na leseni!Kazi kupiga zigzag tu...hamstahili kua barabarani!