Mwenye thread yuko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
he he he he its becoming an issue now....we are related by Key board.....anything else?.....nakusubiri Kaizer!!!:smash::focus:
mi napenda bajaj.....
unafika haraka,na hewa unapata njiani....lol
Maji ya kutengenezea hizo koni ni salama kweli?
Sipiyu embu edit hayo maneno kabla sijaanza kulia!
Si unaona sasa umekua? Ulipoanza ulikuwa U18 sasa umeshajua hata madereva si lolote.....lol!!!!???????
Natakaaaa .................!Au unataka Aiskrimu ya kunyonya?
mi napenda bajaj.....
unafika haraka,na hewa unapata njiani....lol
Natakaaaa .................!
Tayariiiii abiria anataka kushuka huyo
Mwenye sredi kumbe ni U18, amegeuka kuwa invizibo!!!!
Neither!Nataka nimbusu .............!Ya kijiti???? Au ya kushika aiskrimu yenyewe moja kwa moja?
Hii thread leo imenipa raha kweli hata kulala sitaki
Hii thread leo imenipa raha kweli hata kulala sitaki
Ulikumbuka kulipa kiingilio mama? Hafu eti ni sisi tumekupa raha au ni sredi?
Umeipenda hii safari eeh??
Chai maharage noma bana
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Hebu njoo umpe darasa la chiken pati mwenzio, ameshasahau kama anamiliki benzi