Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

mi napenda bajaj.....
unafika haraka,na hewa unapata njiani....lol

Pamoja na ubanaji wake wa bajeti ya mafuta, na kuwa nyepesi, bajaji nyingi zinazopatikana Tanzania zinazimika ghafla ukianza kuweka gia namba 1
 
Kitu Pawatila bana kwanza ni Matipapas,uendeshaji wake simpo afu Mlio wake umetulia pia kwa kweli zipo flexbo haifanyi kazi moja tu yenyewe zote inaenda iwe kubeba Mizigo,abiria,kulima nk.
 
Hakikisha kila unapoipaki gari yako unaipaki sehemu salama na unaifanyia checking kabla ya safari hakikisha unapima oil,maana hafla unaweza ukaikuta ina mlio mbaya kumbe hamna oil au kuna mtu ameizibua exoz maana kuna majitu kazi yao ni kutolea mimacho mali za watu.
 
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Hebu njoo umpe darasa la chiken pati mwenzio, ameshasahau kama anamiliki benzi

ungepiga horn kwa sauti bwana....sasa uliweza kumfundisha au nianze darasa? Lizzy ameelewa sema alitaka tu wewe umfundishe...its sweet you know....l.o.l
 
Back
Top Bottom