CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Nawakomoa madereva msio na leseni!Kazi kupiga zigzag tu...hamstahili kua barabarani!
Mi nina lesseni mbona, tena imetolewa na ikulu.
Muulize muhosni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawakomoa madereva msio na leseni!Kazi kupiga zigzag tu...hamstahili kua barabarani!
Duh, kumbe sipiyuu anapiga zigizaagaa! Oili ipo ya kutosha?
Sipiyu hayo magari yatanitesa bure mie mkulima mazao nitapakia kwenye BMW au Benz kweli?
Mi sina makuu napenda kuendesha GX mlio kwa mbali unaweza dhani gari imesimama kumbe speed 180. ila ikitoboka eksozi utakimbia mwenyewe
Haya mana, stendi ndio hii
Au unaonaje nikikuzungusha kidogo hadi kariakoo tukamchukue Kimbweka halafu nakurudisha fasta hadi homu kwako????
Wala usihofu kuchoka, safari hii nitakikunjua kiti utalala kabisaaaaaa kiasi kwamba mimi dereva ndio ntakuwa nayumba-yumba na steringi yangu, wewe uko tuliiiiiii umelalia ubavu kwenye kiti
Gaga, wewe inakufaa MSOSOLISO
ile migari ya mikaa enzi zile unawasha kwa kuzungusha nondo mbele ya gari
Basi utaendeshwa na trekta shambani au porini wakati wa kupanda na mavuno
Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam
Hizo gari zina upweke sana halafu bomba zake za kushika ni ndogo na fupi mno
Duh, kumbe sipiyuu anapiga zigizaagaa! Oili ipo ya kutosha?
Sipiyu embu edit hayo maneno kabla sijaanza kulia!Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam
Swala hazina milio mikubwa ya ajabuajabu, basi guta nalo si linafaa
Maji ya kutengenezea hizo koni ni salama kweli?Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam
Kwetu tunalima kwa ng'ombe!Mambo terekita hatuyawezi!
Kwani wewe ndo hupigi?UKWELI NI KWAMBA HAPA HAMNA DEREVA WA UKWELI!KAZI KUJISIFIA TU WAKATI MNATAKIWA KUSIFIWA!Poleni na hongereni kwa jitihada ila wote mmefeli!
Mwenye thread yuko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii