Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Duh, kumbe sipiyuu anapiga zigizaagaa! Oili ipo ya kutosha?

Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam
 
Mi sina makuu napenda kuendesha GX mlio kwa mbali unaweza dhani gari imesimama kumbe speed 180. ila ikitoboka eksozi utakimbia mwenyewe

Hizo gari zina upweke sana halafu bomba zake za kushika ni ndogo na fupi mno
 
Haya mana, stendi ndio hii
Au unaonaje nikikuzungusha kidogo hadi kariakoo tukamchukue Kimbweka halafu nakurudisha fasta hadi homu kwako????
Wala usihofu kuchoka, safari hii nitakikunjua kiti utalala kabisaaaaaa kiasi kwamba mimi dereva ndio ntakuwa nayumba-yumba na steringi yangu, wewe uko tuliiiiiii umelalia ubavu kwenye kiti

Kiti kinaumiza ntaumwa mgongo!
 
Gaga, wewe inakufaa MSOSOLISO
ile migari ya mikaa enzi zile unawasha kwa kuzungusha nondo mbele ya gari

Hahahaha kweli umenichoka huku napokaa si kila siku ningepitwa njiani natengeneza gari? Wewe mwenyewe ikalus, hivi mnakumbuka yale mabus kwa kukata viuno? enzi zetu ndio yalikuwa uda
 
Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam

Abiria wana haki bana, wakitaka koni inabidi utafute paki kwenye kivuli
 
Duh, kumbe sipiyuu anapiga zigizaagaa! Oili ipo ya kutosha?

Kwani wewe ndo hupigi?UKWELI NI KWAMBA HAPA HAMNA DEREVA WA UKWELI!KAZI KUJISIFIA TU WAKATI MNATAKIWA KUSIFIWA!Poleni na hongereni kwa jitihada ila wote mmefeli!
 
Oil ipo kaka, tatizo ni maji ya kumwagia ktk rejeta.
Halafu naona hawa abiria Lily na Lizzy wanataka kulamba koni za azam
Sipiyu embu edit hayo maneno kabla sijaanza kulia!
 
Kwani wewe ndo hupigi?UKWELI NI KWAMBA HAPA HAMNA DEREVA WA UKWELI!KAZI KUJISIFIA TU WAKATI MNATAKIWA KUSIFIWA!Poleni na hongereni kwa jitihada ila wote mmefeli!

Si unaona sasa umekua? Ulipoanza ulikuwa U18 sasa umeshajua hata madereva si lolote.....lol!!!!???????
 
mi napenda bajaj.....
unafika haraka,na hewa unapata njiani....lol
 
Back
Top Bottom