Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Nimesahu Ni Nani, lkn Kuna mdau humu aliweka Uzi..akisema hapatani na Mama yake mzazi..maana Kila Jambo ambalo alikiwa akimshirikisha Mama yake kwa Nia njema Jambo Hilo linakwama, jamaa alikwama kwenye Kila kitu, yaani anaweza kuanza vizur Jambo lake lakini kosa TU akimwambia mama yake..hiyo issue inafail...

Baada ya kuhisi Mama yake anaziba riziki zake akafanya jaribio la mwisho ili kuprove Kama Mama Yuko nyuma ya uharibufu huo.

Akakodi shamba akalima mazao shamba hili hakumwambia mama yake kuwa analima pale..na shamba lingine ambalo alimuonyesha Mama yake, mashamba Yote yako Jiran jirani, like shamba alilomwambia na kumuonyesha Mama yake hakuvuna kitu lakni lile ambalo Mama hakuambiwa jamaa akavuna haswa.

Akahitimimisha Mama yake Ni kizingiti Cha mafanikio..akaamua kujitenga na mama Yale...

Wapo wazazi ambo Ni barakankwa watoto wao, lakn pia wapo wengine ambao wanajihusisha na nguvu za Giza Ni balaaaa kwa familia. Mungu atupe mwisho mwema...
Onpoint
 
Ukiacha yote aliyowahi kunifanyia ikiwa ni pamoja na haki ya kumjua baba lkn hii kauli ( NATAKA KUAGIZA GARI LINGINE KWA SASA HVYO SIWEZI KUKUTUMIA MATUMIZI HUKO CHUONI )ndio ilinfanya nione ilikua bahati mbaya sana yeye kunizaa ingawaje hata upendo wa kinafki nimeushindwa.

Yan una mzazi si fukara lkn unaishi maisha ya kuomba omba yeye yupo busy kuhangaika kulinda ndoa yake and worse yeye ni mama, boalra angekua baba huenda ningempa excuse kalishwa limbwa na mke wake sasa mama nae kapewa limbwata na mume wake aisee wazazi ni mtihan mkubwa

ITS SEVEN YEARS NOW NAONA VEMA KUKAA MBALI NAYE, YANI MZAZI ANAKUCHUKIA MPAKA HUELEWI ULIKOSEA NINi
Pole sana watu mmepitia magumu.
Mm kuna mambo nayaplan kichwani. I will disappear in this world. One day Yes!
 
Uislamu unatufunza hivi watu hawa watatu hawatoingia peponi

1.mwenye kuwaasi wazazi wawili

2.Mwanamke anojifananisha na mwanaume and vice versa is true hapa watu wengi sana wanaingia

3.Mtu aso na wivu na watu wake yaani mtu ambae hana wivu na mkewe,watoto wake yaani anaona mtoto wake anatembea na wanaume halafu anampongeza mwanangu umekua badala ya kumkanya

Au kumruhusu mkewe kwenda sehemu za starehe akafanya anoyafanya huko hlf baba mtu yupo nyumbani kastarehe tu


Kikubwa tumuombe Mungu tusiwe miongoni mwao
 
Picture
IMG-20231002-WA0022.jpg
 
Kupitia uzi huu nimejifunza mambo mengi Sana nilidhan mm pekee ndyo napitia magumu ya familia yangu kumbe tupo wengi Sana

Kikubwa tuchukulie changamoto hizo tulizopitia kurekebisha familia zetu (watotowetu) tiwatendee mema tuwasikilize na tuwashaur vyema


Binafsi mzaz wangu wa kiume alinipa kila kitu kadir ya uwezo wake lakn kitu kimoja pekee udikteta Tena kwangu tuu kutonisikiliza Wala kinishirikisha kwa Jambo lolote badala yake wanasikilizwa watoto wengne na wanakaa nakupanga mambo ya familia mm naambiwa tu

Jambo hili lilinipa msongo wa mawazo Sana ukizingatia mm nilikuwa mtoto mkubwa kat ya wote lakn n mtoto wa nje ya ndoa na nilijipeleka tu kwa baba yangu baada ya shida kuwa nyingi huko nilokokuwa nakaa (kwa Bibi) ujio wangu pale unaonekana uliharibu kanuni na taratibu zao lakn nifanye nn n mm shida zilinikimbiza wakat mzaz wangu anakila kitu alikuwa engineer wa tanroads mkoa X

Hali ya kutengwa kimaamuzi iliendelea had nilipofika chuo pesa za matumizi had nimpigie mdogo wangu ndyo itumwe ukimpigia mzee hapokei simu na akipiga atanilaumu kwanini nilimpigia mda wa kazi ukipiga jion atakuambia yupo na marafk zake nisimsumbue

Amekuja kustaafu mm nipo chuo mwaka wa 4 namalizia akawagawia wanae wote Kia's Cha pesa Kama 5M kwa kila mtu mm sikupata hata shilingi na hii nilikuja kuambiwa na mdogo wangu alikuja kufunga mzgo wa biashara akaniambia wewe pesa yako utafanyia Nini ? Ndipo nikajua kumbe wamepewa pesa

Lakn MUNGU n mwema maisha Sasa yanasonga Nina familia yangu najitahid kuilea kwa upendo ili nisije kosea Kama mm nilivyoona nakosewa

Kwa Sasa mzazi wangu anailaumu simshirikishi katika maamuz ya mambo yangu najitenga Sana na familia sipigi simu mara kwa Mara

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sio baba yako mzazi,mama yako alikuzaa nje na baba akajua ila tu hawezi kukwambia
 
Poleni sana wakuu, nimepitia huu uzi leo ila nimejifunza vingi sana, nikisema nianze kuandika niliyoyapitia within family nashindwa kuzuia machozi, coz kama watoto unakuta unabeba mizigo, chuki, dharau,masengenyo, kwa sababu tu wazazi wako wameachana tena mkiwa wadogo sana unaona kabisa ndugu hawawapendi wanawachukulia kama watoto wapotofu wakati huo haujui hata baya na jema, ndugu upande wa baba wanaanza kuwaonea wakishirikiana kwa pamoja mara muanze kusemwa as if nyie ndo mnahatia ila mungu hajawahi mtupa mja wake , tumetokea familia zina migogoro ya ajabu na hapo hapo ametuvusha tumetoboa kielimu na kiuchumi, kikubwa tumwombe mungu awe upande wetu tuliokulia familia zetu hizi ngumu kumeza, tujitahidi tu kuonyesha hata upendo wa kinafki ila tusizubae wakaendelea kukupelekesheni, Mwisho tusirudie makosa katika future family zetu tusijekuleta maisha yenye migogoro kwa watoto wetu. God bless you all🫡😇
 
Dogo jana kamwambia Mzee karogwa kisa kakataa kupimwa utumiaji wa madawa ya kulevya dah so poa
 
Mleta uzi una hoja dhaifu mno. Biblia kupitia waefeso imetamka wazi kuwa kina baba wasiwachokoze watoto bali wawalee katika maadili. Hii ina maana hata Mungu aliona hawa watu huwa wanazingua. Halafu huu upuuzi wa kusema baba yako hata akufanyie nini unatakiwa upotezee nadhani ufikie mwisho. Kama ni laana basi wazungu wangezipata sana kwa sababu huko mtoto anaweza peleka mzazi mahakamani. Uzi wako ungekuwa na maana endapo ungehimiza wazazi kutowatendea watoto wao uovu. Kusema watoto wavumilie uovu kisa umefanywa na mzazi ni UPUMBAVU WA HALI YA JUU. ITOSHE KUSEMA WEWE NDUGU Da'Vinci NI MPUMBAVU NDO MAANA UNATAKA WATU WAWE KAMA WEWE.
 
Back
Top Bottom