Kwa wale ambao hawajaoa hii ni yenu

Haaahahhaha

Nimechekaaaa jamani
 
Sasa ukose yote ndiyo hayo mke yatamkuta, hata yeye mme akiwa ukweni wakisema mchango hat elfu 10 hakuna lazima akawasaidiye kina mama kusonga ugali kwenye mipipa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unanivunja huku mwenzio
 
Sasa ukose yote ndiyo hayo mke yatamkuta, hata yeye mme akiwa ukweni wakisema mchango hat elfu 10 hakuna lazima akawasaidiye kina mama kusonga ugali kwenye mipipa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndio hivyo dunia inavyokwenda kwasasa hata ukiwa mkubwa wafamilia alafu ukawa huna kitu utapata heshima yakinafki ila sio kwamba watakuheshimu kutoka ndani yamioyo yao
 
Akasonge tu sasa mie nitafanyaje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha inauma lkn

Ni kuwa humble tu sio ukipewa kiti nawe mkamwana unakunja nne kwa nyodo na kujilegeza ukifika ukweni piga kazi jichanganye na wenzio sio kujiona veeery special ukweli haipendezi

Mtoa mada siku shemeji yenu huyo akibarikiwa chochote katika maisha haya mtaona aibu kwa mnachomfanyia
 
Uzuri sio kitu. Pesa ndio kila kitu, ukiwa huna hela wewe na mkeo wote mtapewa kazi za ajabu ajabu hata awe mzuri.
 
Uko sahihi
 
Hii tabia ni maarufu sana kule Kaskazini.
 
Kweli kabisaaa
 
Sio kukaa tunafanya kazi lakini wenyeji wanavyo kuchukulia inakuwa tofauti na yule mwingine, kwenye familia kuna mambo
 
Wenzako wapo wanapanga mipango wewe umeagizwa kuhemea nabado unawaza kuwala ganji
Hahahaaa baada ya kutoka hapo umeshakusanya kusanya ya nauli na mkeo [emoji28] [emoji28] [emoji28] wakianza story wakwanza kuchangia [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…