Kwa wale ambao mpaka sasa hawajaelewa falsafa ya kocha wa Yanga Gamond njooni hapa mpate somo

Kwa wale ambao mpaka sasa hawajaelewa falsafa ya kocha wa Yanga Gamond njooni hapa mpate somo

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.

Wale wachezaji aina ya Inonga kumkamia mchezaji Fulani ndio mfungaji muwape ujumbe, gari limewaka, Yanga I nataka ushindi tu sasa hivi, falsafa siyo nani anafunga.

Hakuna mchezaji amesajiliwa kuja kugombea kiatu cha ufungaji bora, Bali wachezaji wote wanatakiwa kuhakikisha Yanga inashinda.

Habari ndio hiyo msije mkasema sikuwaambia mapema, sasa margin ya magoli ni wachezaji wote wanaoingia ndani ya box.

Nimewaibia siri tu hizi tano tano zina muendelezo wa muda mrefu ujao kwa falsafa hii ya Gamondi.

Cc: Gang Chomba
 
Inonga anaingiaje hapo? Hiyo hiyo Yanga inayofunga goli 5 kwenye ligi tuliwadungua mbili,nadhani pia Ngao ya jamii unaikumbuka.

Msijisifu mmecheza na waoka mikate
 
Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga...
Aahaaaaaa,nimependa hapa chini

"Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.'

Habari za Umayele hazipo tena hapa
 
Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.

Wale wachezaji aina ya Inonga kumkamia mchezaji Fulani ndio mfungaji muwape ujumbe, gari limewaka, Yanga I nataka ushindi tu sasa hivi, falsafa siyo nani anafunga.

Hakuna mchezaji amesajiliwa kuja kugombea kiatu cha ufungaji bora, Bali wachezaji wote wanatakiwa kuhakikisha Yanga inashinda.

Habari ndio hiyo msije mkasema sikuwaambia mapema, sasa margin ya magoli ni wachezaji wote wanaoingia ndani ya box.

Nimewaibia siri tu hizi tano tano zina muendelezo wa muda mrefu ujao kwa falsafa hii ya Gamondi.

Cc: Gang Chomba
Mapema sana mkuu kuyamaliza haya maneno. Tusubiri mechi yetu dhidi ya Al Merrikh itupe majibu.
 
Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.

Wale wachezaji aina ya Inonga kumkamia mchezaji Fulani ndio mfungaji muwape ujumbe, gari limewaka, Yanga I nataka ushindi tu sasa hivi, falsafa siyo nani anafunga.

Hakuna mchezaji amesajiliwa kuja kugombea kiatu cha ufungaji bora, Bali wachezaji wote wanatakiwa kuhakikisha Yanga inashinda.

Habari ndio hiyo msije mkasema sikuwaambia mapema, sasa margin ya magoli ni wachezaji wote wanaoingia ndani ya box.

Nimewaibia siri tu hizi tano tano zina muendelezo wa muda mrefu ujao kwa falsafa hii ya Gamondi.

Cc: Gang Chomba
Timu haina kwako.
Kwa kifupi wewe ndiye umekua mwenyeji michezo yote miwili ndio uitumie kupimia falsafa ya kocha ? Muda bado sana
 
Binafsi ninafikiria kupeleka wazo kwa mamlaka husika la kuomba kuihamishia Yanga Ligi ya Laliga Hispania ilo ikashindane na akina Barcelona huko!!

Naona hapa Bongo inapoteza tu muda kwa kushindana na timu mbovu kama simba, nk.
 
Inonga anaingiaje hapo? Hiyo hiyo Yanga inayofunga goli 5 kwenye ligi tuliwadungua mbili,nadhani pia Ngao ya jamii unaikumbuka.

Msijisifu mmecheza na waoka mikate
Siku tukiwapiga KONO la NYANI ndio mtashika adabu
 
Naomba huu walaka usambazwe kwenye matawi yote yamakolo wawe wanausoma kila wakiwa wanaenda kuangalia li timu lao likicheza ili wawe wanapata uchungu
Nimesoma hii Comment yako ghafla ikanijia picha ya lile goli Kibu D alilowafunga Uto..

Si kwa ubaya lakini[emoji1787]
 
Back
Top Bottom