Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Hilo kono mnatupigaje wakati ile kono tuliyowapiga hadi leo bado mnakaa naloSiku tukiwapiga KONO la NYANI ndio mtashika adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kono mnatupigaje wakati ile kono tuliyowapiga hadi leo bado mnakaa naloSiku tukiwapiga KONO la NYANI ndio mtashika adabu
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sanaBinafsi ninafikiria kupeleka wazo kwa mamlaka husika la kuomba kuihamishia Yanga Ligi ya Laliga Hispania ilo ikashindane na akina Barcelona huko!!
Naona hapa Bongo inapoteza tu muda kwa kushindana na timu mbovu kama simba, nk.
Bado haitawapa majibu maana mtaanza kusema kule Kuna vita. Yanga ya sasa inametameta.Mapema sana mkuu kuyamaliza haya maneno. Tusubiri mechi yetu dhidi ya Al Merrikh itupe majibu.
Kwa taarifa yako tu mfuatilie Gamond vzur hanaga mpango na mfumo ambao ni defensive zaidi.fuatilia hata vlabu alivyotoka. Anapenda timu ishambulie haraka na ilinde kwa kufaanya pressing ya nguvu ili kupokonya mipira. Huo mfumo ni Nabi tu ndo alikuaga anapendeleaNasisitiza tunahitaji natural and talented striker, tukikutana na miamba kama sisi inayotulazimu tucheze defensive zaidi na kutupia mbele, 4-3-2-1, tutazungumza lugha nyingine.
Sawa Baba Evelyn!Nasisitiza tunahitaji natural and talented striker, tukikutana na miamba kama sisi inayotulazimu tucheze defensive zaidi na kutupia mbele, 4-3-2-1, tutazungumza lugha nyingine.
Mayele anawauma sana ila mnatusingizia maumivu yenu.Naomba huu walaka usambazwe kwenye matawi yote yamakolo wawe wanausoma kila wakiwa wanaenda kuangalia li timu lao likicheza ili wawe wanapata uchungu
Tunaye konkoni, ni pure no 9Nasisitiza tunahitaji natural and talented striker, tukikutana na miamba kama sisi inayotulazimu tucheze defensive zaidi na kutupia mbele, 4-3-2-1, tutazungumza lugha nyingine.
Muda utaongea tu, na hizo unazoita falsafa tutaziona muendelezo wake.....Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.
Wale wachezaji aina ya Inonga kumkamia mchezaji Fulani ndio mfungaji muwape ujumbe, gari limewaka, Yanga I nataka ushindi tu sasa hivi, falsafa siyo nani anafunga.
Hakuna mchezaji amesajiliwa kuja kugombea kiatu cha ufungaji bora, Bali wachezaji wote wanatakiwa kuhakikisha Yanga inashinda.
Habari ndio hiyo msije mkasema sikuwaambia mapema, sasa margin ya magoli ni wachezaji wote wanaoingia ndani ya box.
Nimewaibia siri tu hizi tano tano zina muendelezo wa muda mrefu ujao kwa falsafa hii ya Gamondi.
Cc: Gang Chomba
Hahaha. Naona umepitia nyuzi zangu za nyuma.Sawa Baba Evelyn!
Sisi sio KolokwinyoMmeanza baadae mtarudi hapa kumponda siku akifungwa mechi moja.
Goli la Kibu Huwa linanikumbusha goli la Feitoto CCM Kirumba ambalo halijajibiwa kutoka Kolokoloni!Nimesoma hii Comment yako ghafla ikanijia picha ya lile goli Kibu D alilowafunga Uto..
Si kwa ubaya lakini[emoji1787]
Ati?
Hakuna namna, hamia tu Nyumbani kumenoga.Mimi popoma ila Yanga inatupa raha,kuna mda natamani kuunga mkono juhudi za Hersi