Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 873
- 1,841
Salama ,kumbe unamsikiza G eazy embu tafuta nyimbo yake na Halsey (him and i)Saf za kwako baba big?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama ,kumbe unamsikiza G eazy embu tafuta nyimbo yake na Halsey (him and i)Saf za kwako baba big?
Mnatuonea mtafanya tuwazike watoto wasio na hatia kwenye tissue🥲Simesema tuamshane
Lemme show u what I mean... Hizi 10 songs zitaamsha vinyweleo vyako babe..[emoji57][emoji57][emoji57] sitaki kampani nyingine tofauti na music
Ninao mkuuSalama ,kumbe unamsikiza G eazy embu tafuta nyimbo yake na Halsey (him and i)
NEVER🤣🤣Another one down😭😭😭
Naweza kuja unipe na mm earphone mojaNinao mkuu
Dude, that's too much detail. Now you are leaving us with a mental image of your butt hole.Hapana mkuu, my anal is very intact na haitokaa nijihusishe na hiyo michezo..
Akuuuu naogopa kuambukizana fungus wa masikioniNaweza kuja unipe na mm earphone moja
Acha mboyoyo nyingi mkuu, huu uzi siyo wa mahubiri..Dude, that's too much detail. Now you are leaving us with a mental image of your butt hole.
Intact or not kuangalia kwako tu kunaweka walakini. Maana wazungu walisema 'curiosity killed a cat'. Baada kuangalia kutafuata shauku itayapelekea kujaribu kuishia kuwa mfuasi wa kina James Delicious.
Ya mjao😂weka picha
TUSHAMPOTEZA BAHARIA KWENYE CHAMAAcha mboyoyo nyingi mkuu, huu uzi siyo wa mahubiri..
Welcome to the watch party...
View attachment 2353950
Mbona mnakuwa serious sana kwenye uzi wa hovyo?TUSHAMPOTEZA BAHARIA KWENYE CHAMA
Maisha ni kupanga kuchagua.Mmmmmh kweli Tanzania kuna vijana wa hovyo loooh mtu una magroup 20 yote ya ngono[emoji849][emoji849][emoji849] eee Mungu tuangalie KWA jicho la tatu[emoji22][emoji22]
Maisha hayatuhitaji kuwa that serious, take things easy na life likwende tuMbona mnakuwa serious sana kwenye uzi wa hovyo?
Nyie kama mmeoa tulieni na wake zenu huko, tulio singo tuna mambo ya hovyo mpaka basiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maamzi ya watu yaheshimiwe au sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maisha ni kupanga kuchagua.
Priorities mamaa