Kwa wale ambao mpo single muda huu njooni tufarijiane hapa

Kwa wale ambao mpo single muda huu njooni tufarijiane hapa

[emoji57][emoji57][emoji57] sitaki kampani nyingine tofauti na music
Lemme show u what I mean... Hizi 10 songs zitaamsha vinyweleo vyako babe..










 
Hapana mkuu, my anal is very intact na haitokaa nijihusishe na hiyo michezo..
Dude, that's too much detail. Now you are leaving us with a mental image of your butt hole.
Intact or not kuangalia kwako tu kunaweka walakini. Maana wazungu walisema 'curiosity killed a cat'. Baada kuangalia kutafuata shauku itayapelekea kujaribu kuishia kuwa mfuasi wa kina James Delicious huku ukiishi kwa kujamba jamba ovyo maisha yako yote.
 
Sikiliza hili goma babe. Sia & David G

View attachment 2353943
Ukimaliza hiyo sikiliza hii
Screenshot_20220911-225823.jpg

View attachment 2353949
 
Dude, that's too much detail. Now you are leaving us with a mental image of your butt hole.
Intact or not kuangalia kwako tu kunaweka walakini. Maana wazungu walisema 'curiosity killed a cat'. Baada kuangalia kutafuata shauku itayapelekea kujaribu kuishia kuwa mfuasi wa kina James Delicious.
Acha mboyoyo nyingi mkuu, huu uzi siyo wa mahubiri..

Welcome to the watch party...

IMG_20220911_225941.jpg
 
TUSHAMPOTEZA BAHARIA KWENYE CHAMA
Mbona mnakuwa serious sana kwenye uzi wa hovyo?

Nyie kama mmeoa tulieni na wake zenu huko, tulio singo tuna mambo ya hovyo mpaka basiii🤣🤣🤣
 
Mbona mnakuwa serious sana kwenye uzi wa hovyo?

Nyie kama mmeoa tulieni na wake zenu huko, tulio singo tuna mambo ya hovyo mpaka basiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maisha hayatuhitaji kuwa that serious, take things easy na life likwende tu
 
Back
Top Bottom