Kwa wale anti-Electical Vehicle: Unaijua ZEV Mandate?

Kwa wale anti-Electical Vehicle: Unaijua ZEV Mandate?

Africa ngoja tuendelee na Internal Combustion Engine

Kwenye trucking hata South Africa matajiri wananunua roli mpya za mwaka 2023/24 kufanya long haulage ya copper kutoka Congo DRC kwenda Durban Port na Port Elizabeth hawataki hizo Electric Vehicle mazingira sio rafiki hata kama ni nafuu kuzidi Diesel
Tuishie kwenye treni tu kwañza.🤣🤣
 
EV labda wapunguze bei, africa huku wazee wa used from japan itakua utata tu
Bei za EV zinaporomoka ni aibu. Used Tesla Model 3 ya 2019 unaweza ipata kwa $17,000/= Beforward. Ni mwanzo mzuri.

Mchina BYD nae analeta vyuma new kwa $13,000/= sema kana shape kama Passo. Imagine kakiwa used 50,000 km hivi unaweza kapata kwa CIF ya $ 4,000
 
Kwa huku Ulaya na mataifa makubwa wao wameamua na pia lengo ni kuongeza ufanisi wa mambo ya technology na uchumi pia
Magari ya umeme ni ghali mno kwa sasa na hayatakuwa rahisi kabisa
Kwa Africa nyie mtakuwa bado mnatumia mfumo wa kawaida wa mafuta tu na wwchache sana sana huenda wakawa na za umeme kwa kiburi ya pesa tu
Kama jembe la mkono lina miaka zaidi ya 500 na bado tumelikumbatia basi sahau
Mpaka leo kuna mafundi hawawezi kutengengeneza matatizo kibao ya gari za mafuta
Kila kitu kinataka pesa na ndugu zetu hawako serious kabisa na kazi zao
Unamuita fundi hana hata gari wlala vifaa kamili na ana miaka zaodi ya kumi kazini
Mafundi wa mikono wote ni mrihani yaani kuna watu wanapeleka magari yao Kenya kutengeneza kama huamini

Uingereza sio magari tu hata sigara mpaka kufika 2035 kutakuwa ni marufuku uvutaji na uuzaji kabisa je hilo unasemaje
Tukiamua tunaweza ila kwa Africa maamuzi ni magumu sana kufanya
 
Bei za EV zinaporomoka ni aibu. Used Tesla Model 3 ya 2019 unaweza ipata kwa $17,000/= Beforward. Ni mwanzo mzuri.

Mchina BYD nae analeta vyuma new kwa $13,000/= sema kana shape kama Passo. Imagine kakiwa used 50,000 km hivi unaweza kapata kwa CIF ya $ 4,000
Nahisi used Ev zitakuwa na chamgamoto ya battery degregation, Siamini kama unaweza Pata used ev halafu battery ikawa Ina uwezo mzuri.
 
Ndio maana mwarabu anapandisha mafuta kila kukicha ili apige Super profit za mwisho mwisho.

Maana after 5 yrs soko litaporomoka kwa 20% kwenda 50% ni simple.. wateja wake watabaki watu wa ndege, meli na baadhi ya mitambo mikubwa.

Upande wa Reli ulishajitenga siku nyingi sana na bidhaa ya mafuta.
 
Magari mengi ya EV (ya kuanzia 2016 kuja juu) yanatumia 0.25kWh (unit) kwenda 1.5 km on average. Kwahiyo kwa wastani kama unaendesha Kilometa 100 kwa siku, utatumia Unit 16 hivi.

Unit moja ni Tsh 350/= kwahiyo unit 16 ni Tsh 5600/= tu.

Kwahiyo kwa Tsh 5600 unaenda kilometa 100 wakati ungenunua mafuta kwenye IST ungepata lita 3 average ambazo unaenda kama kilometa 60 (assume IST inatumia 20km/L kitu ambacho sio kweli).
je, bei ya umeme itabaki kuwa hiyo hiyo?
 
Hata upande wa Heavy Duty Machine tayari wameshaanza kuproduce machine za kuchaji mfano Sandvik tayari wana LHD, Jumbo, Solo, na truck...

Kwa Komatsu niliona Ad ya LHD...

Ngoja nimtafute na CAT nione...japo huyu anakuwaga nyuma kwenye mambo ya umeme.
 
Mad Max tuendelee kutafuta pesa Tu maana Huko mbele baada ya miaka 10 tutapata mitumba ya magari(ICE) ya kila namna...
Sijajua Kwa Japan wamejiwekea limit ya kutumia combustion engine Hadi mwaka gani maana huku Africa tutakuwa dampo la magari, serikali waangalie Tu ushuru ili watanzania wengi wamiliki magari
 
Nahisi used Ev zitakuwa na chamgamoto ya battery degregation, Siamini kama unaweza Pata used ev halafu battery ikawa Ina uwezo mzuri.
Mkuu kama tuna think tanks wetu
Hapa ndio pa kuanzia
Tuwe na kiwanda kikubwa Africa cha kutengeneza Batteries hizo na hapo tutakuwa wasambazaji wakubwa kabisa hata nje ya continent

Yapo makampuni makubwa China ambayo tunaweza kuwakaribisha hapa kwetu

Tatizo siasa nyingi sana kwetu yaani anasimama kwenye podium na kuongea trash badala ya mambo ya muhimu

Siku nikipata lottery ntakuja kuwekeza huko
 
Ndio maana mwarabu anapandisha mafuta kila kukicha ili apige Super profit za mwisho mwisho.

Maana after 5 yrs soko litaporomoka kwa 20% kwenda 50% ni simple.. wateja wake watabaki watu wa ndege, meli na baadhi ya mitambo mikubwa.

Upande wa Reli ulishajitenga siku nyingi sana na bidhaa ya mafuta.
Hii campaign ya kuanzisha magari ya umeme ni vita Tu ya biashara na nchi zinazozalisha mafuta
 
Back
Top Bottom