Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sweden wana electric Road unajaza battery huko unatembeaHata upande wa Heavy Duty Machine tayari wameshaanza kuproduce machine za kuchaji mfano Sandvik tayari wana LHD, Jumbo, Solo, na truck...
Kwa Komatsu niliona Ad ya LHD...
Ngoja nimtafute na CAT nione...japo huyu anakuwaga nyuma kwenye mambo ya umeme.
Toyota wanaamini hydrogen fuel ndiyo Bora zaidi kuliko EV's ingawa usafirishaji wa hydrogen Una gharama kubwa ila kama marekani watapiga kampeni kwenye technology hii itakuwa poa Sana.Toyota wamekuja na hydrogen combustion engine, Kwa maelezo yao wanaweza kupindua meza ya Ev!!
Nilikuwa nawaza hizi hesabu sana ..umenisaidiaMagari mengi ya EV (ya kuanzia 2016 kuja juu) yanatumia 0.25kWh (unit) kwenda 1.5 km on average. Kwahiyo kwa wastani kama unaendesha Kilometa 100 kwa siku, utatumia Unit 16 hivi.
Unit moja ni Tsh 350/= kwahiyo unit 16 ni Tsh 5600/= tu.
Kwahiyo kwa Tsh 5600 unaenda kilometa 100 wakati ungenunua mafuta kwenye IST ungepata lita 3 average ambazo unaenda kama kilometa 60 (assume IST inatumia 20km/L kitu ambacho sio kweli).
Nyingi sana hii
Baadhi ya nchi za Scandinavia ikiwemo Sweden wamesema mwisho wa kutumia combustion engine ni 2026.Sweden wana electric Road unajaza battery huko unatembea
Jamaa wanajiongeza hawana utani
Malori yanahitaji sana barabara za hivyo maana mda mwingi wanakuwa barabarani
Watuletee used za 2022Baadhi ya nchi za Scandinavia ikiwemo Sweden wamesema mwisho wa kutumia combustion engine ni 2026.
Hizi nchi hawana njaa Kali kama uingereza, France, Portuguese na Spain( hawa wataendelea Sana kutumia magari haya Hadi 2040)
TRA ndio kisanga. Mfano Tesla Model 3 ya 2020 wanakuambia uwape Mil 28 TRA. Yenyewe Beforwad unaweza ipata kwa CIF $20,000 hapo sasaNilikuwa nawaza hizi hesabu sana ..umenisaidia
Vip mkuu kuyaleta hapa bongo TRA Wanatapiga ngapi...
Zitakuja Tu mchawi ni TRAWatuletee used za 2022
Kwa matumizi ya kawaida, Tesla Model 3 baada ya miaka 4 imepungua (degradation) 4% .Nahisi used Ev zitakuwa na chamgamoto ya battery degregation, Siamini kama unaweza Pata used ev halafu battery ikawa Ina uwezo mzuri.
Mmemkataa Elon Musk awaletee internet nini kingine mpewe?Mkuu kama tuna think tanks wetu
Hapa ndio pa kuanzia
Tuwe na kiwanda kikubwa Africa cha kutengeneza Batteries hizo na hapo tutakuwa wasambazaji wakubwa kabisa hata nje ya continent
Yapo makampuni makubwa China ambayo tunaweza kuwakaribisha hapa kwetu
Tatizo siasa nyingi sana kwetu yaani anasimama kwenye podium na kuongea trash badala ya mambo ya muhimu
Siku nikipata lottery ntakuja kuwekeza huko
Uingereza ni ukiherehere wa SunakBaadhi ya nchi za Scandinavia ikiwemo Sweden wamesema mwisho wa kutumia combustion engine ni 2026.
Hizi nchi hawana njaa Kali kama uingereza, France, Portuguese na Spain( hawa wataendelea Sana kutumia magari haya Hadi 2040)
Kwa bongo kila kitu ni ubishi tu waache wale maembe tuMmemkataa Elon Musk awaletee internet nini kingine mpewe?
Hawa jamaa hizi EV wangesi samehe..ili wadau wachukue......TRA ndio kisanga. Mfano Tesla Model 3 ya 2020 wanakuambia uwape Mil 28 TRA. Yenyewe Beforwad unaweza ipata kwa CIF $20,000 hapo sasa
Think tank chini ya ccm mkuu🤣🤣Mkuu kama tuna think tanks wetu
Hapa ndio pa kuanzia
Tuwe na kiwanda kikubwa Africa cha kutengeneza Batteries hizo na hapo tutakuwa wasambazaji wakubwa kabisa hata nje ya continent
Yapo makampuni makubwa China ambayo tunaweza kuwakaribisha hapa kwetu
Tatizo siasa nyingi sana kwetu yaani anasimama kwenye podium na kuongea trash badala ya mambo ya muhimu
Siku nikipata lottery ntakuja kuwekeza huko
Hakuna kitu mkuu, ni kujifariji tuThink tank chini ya ccm mkuu🤣🤣