CLEVER SQUIRREL
Senior Member
- Feb 20, 2019
- 121
- 117
- Thread starter
- #41
Ukitaka kuwa successful banker unatakiwa uwe unahamahama,Ukiwa na experience na mabenki kuanzia manne au matano maisha yatakuwa mazuri.Usikae benki moja zaidi ya miaka miwili you will never grow na mawazo yako yatakuwa finyu sana
Ukiwa nje unatamani ufanye kazi benki...ila yule mfanyakazi wa benki anapambana kila siku atoke pale aende sehemu nyingine.....bank wanafaidi wale walio kwenye top positions