Ila sometime mahusiano ya mda mrefu huchosha, fatilia kuna watu wanaishi kwenye mahusiano mpaka miaka 5 end of the day wanajikuta wameachana,
Kwa upande wako huo mwaka na kidogo ni mchache sana, fanya upesi umuoe, maana utakapo kuwa katika ndoa kuna vitu viwili ambavyo nakuhakikishia vitakufanya usimchoke mkeo.
1. Kama mtabahatika kupata watoto, watageuka kuwa faraja kwako na kuongeza hamasa ya upendo.
2. Kukupikia chakula na kukufulia nguo pia kuandaliwa maji ya kuogo nk. Hii itakufanya ujione tofauti na ulivyokuwa single boy maana sometime vitu getto unavipanga hovyo hovyo, hakuna mpangilio maalum wa kula chakula, au sometime chakula unakila ukiwa kitandani huku unachat and so on