Kwa wale mliokua mkisema Messi alikua anazungukwa na wachezaji wazuri Barcelona

Kwa wale mliokua mkisema Messi alikua anazungukwa na wachezaji wazuri Barcelona

siasa ms

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2019
Posts
1,821
Reaction score
3,142
Kuna watu huku mlikua mnasema Messi hana kitu ni kwamba yupo tu kwenye timu Bora na anazungukwa na wachezaji wazuri mmeona sasa kuondoka kwake kumeifanya Barca kupoteana hadi kushiriki michuano ya Europa?

Haya Sasa mmeona umuhimu wake?

Hivi ni kweli mlikua hamuuoni mchango wa Messi Barcelona?

Hamkuona kwamba akiwa Barca yeye ndo alikua anaongoza kwa kila kitu msimu ukiisha? Sio magoli,sio assist,sio nafasi za kutengeneza.

Huyu Messi mpeni heshima yake jamani
20211210_110719.jpg
 
sasa unategemea nini kwa Team Cr7 wanapimuongelea lapulga?
 
Kuna watu huku mlikua mnasema Messi hana kitu ni kwamba yupo tu kwenye timu Bora na anazungukwa na wachezaji wazuri mmeona sasa kuondoka kwake kumeifanya Barca kupoteana hadi kushiriki michuano ya Europa...
ukona hivi tayari hapo, ni location tu ndiyo kilichobakia !!
 
Andunje anacheza ligi ya wakulima timu nyingi kwenye ligi ni mbovu anawageuza geuza kama chapati.
 
Kuna watu huku mlikua mnasema Messi hana kitu ni kwamba yupo tu kwenye timu Bora na anazungukwa na wachezaji wazuri mmeona sasa kuondoka kwake kumeifanya Barca kupoteana hadi kushiriki michuano ya Europa....
Mi naona walikuwa sahihi. Kinyume chake, mchango wake uonekane huko aliko. Yaani, hao PSG waonyeshe walichokuwa wanaonyesha hao BASA.

Mfano mwingine, C.C.Chama ilikuwa inasemwa alikuwa anaibeba Simba. Ni kweli. Kaondoka, Simba inataabika. Lakini kule alikoenda, anataabika yeye. Inawezekana wachezaji aliokuwa anachezanao huko Simba, ndio waliokuwa wanamfanya a- shine!
 
Pele,maradona,okocha,Ronaldo,gaucho,Cristina,Messi ni wachezaji wasio na makala,usitarajie kuona wachezaji wa nanna hiyo ukiwa hai

Top 10 Best football players of all time

S.no Player NameNation Career goals Career Assists
1Pele Brazil1279231
2Diego Maradona Argentina293226
3Lionel Messi Argentina 753352
4Cristiano RonaldoPortugal794270
5Johan Cruyff Netherlands 296167
6Zinedine ZidaneFrance 152149
7Ronaldo Nazario Brazil35794
8RonaldinhoBrazil 230 187
9Franz BeckenbauerGermany 7276
10Alfredo Di StefanoArgentina 302 1
 

Top 10 Best football players of all time

S.no Player NameNation Career goals Career Assists
1PeleBrazil1279231
2Diego MaradonaArgentina293226
3Lionel MessiArgentina753352
4Cristiano RonaldoPortugal794270
5Johan CruyffNetherlands296167
6Zinedine ZidaneFrance152149
7Ronaldo NazarioBrazil35794
8RonaldinhoBrazil230187
9Franz BeckenbauerGermany7276
10Alfredo Di StefanoArgentina3021
Hapo hakuna Kama no 8
 
Sasa hii ya Sasa ni Barcelona au upuuzi mtupu?
Unaijua Barcelona wewe?
Acha hii ya juzi.
 
Mi naona walikuwa sahihi. Kinyume chake, mchango wake uonekane huko aliko. Yaani, hao PSG waonyeshe walichokuwa wanaonyesha hao BASA.
Mfano mwingine, C.C.Chama ilikuwa inasemwa alikuwa anaibeba Simba. Ni kweli. Kaondoka, Simba inataabika. Lakini kule alikoenda, anataabika yeye. Inawezekana wachezaji aliokuwa anachezanao huko Simba, ndio waliokuwa wanamfanya a- shine!
Huko alikoenda hatukuhusu sisi tunaangalia kipindi yupo na kipindi hayupo
 
Back
Top Bottom