Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa taarifa
Sitaki tena mishikaki dah kwa style hii nahisi hata Bongo imeshaingia
Mombasa raha.....
kwani hii nini...mchicha huo ...au mi macho yangu hayaoni vizuri....hiyo nyama mkuuDuh!!! Aisee washanikata stimu ya kula nyama...!!!
nyanda za juu nako mbali kila kona ya dar ipoMombasa mbona mbali mkuu? kuna mahali nyanda za juu kusini............
sina haja ya kumpa mchongo zimezagaa kila mtaa dar ongea nao vizuri wale wauzaji wa mishikaki mtaani watampa michongo