Kwa Wale ndugu zetu wanaopenda kuja huku Ughaibuni hebu angalia hii picha ya hapo

Kwa Wale ndugu zetu wanaopenda kuja huku Ughaibuni hebu angalia hii picha ya hapo

Watoe oda tu uvinza chumvi ya kumwaga au wanaona haya kuomba msaada Afrika (Tanzania)
wanaona noma,kipindi fulani walikua na njaa kinoma idd amin akawapa ofa ya mbogamboga mix kibao akawaambia watume ndege wachukue wakamchunia.:teeth:
 
edinburgh hakufaiii too much snow roads are too dangerous to drive.Uk government doersnt have enough salt minerals for these.OMG Msije jamani mwaweza kuganda kwa barafu loooooooooo

Mbona hiyo cha mtoto sana. Nenda Sweden, Denmark ama Norway mwezi huu huu une kulivyo. Huko mnacheza tu.
 
Haya Mkuu Mbu karibu sana nipo karibu na Urusi si unajuwa Urusi kulivyokuwa na Baridi ya +40 unaweza ukaganda ukitembea njiani lazima uanguke mara mbili au tatu mpaka kule unakofika upo hoi au utembee kidogo kigodo kama kobe karibu sana mkuu Mbu ingawa sijawahi kuona huku mdudu Mbu tangu nisafiri sasa ni miak 20 iliyopita .
Eh! Kumbe UK ipo karibu na Urusi!?
 
Haya Mkuu Mbu karibu sana nipo karibu na Urusi si unajuwa Urusi kulivyokuwa na Baridi ya +40 unaweza ukaganda ukitembea njiani lazima uanguke mara mbili au tatu mpaka kule unakofika upo hoi au utembee kidogo kigodo kama kobe karibu sana mkuu Mbu ingawa sijawahi kuona huku mdudu Mbu tangu nisafiri sasa ni miak 20 iliyopita .

Baridi ya +40?? Naona leo umeamka vibaya kidogo....
 
sasa kaka umenikubusha cha maana sana ... unajua kutokana na tatizo la umeme huku bac vitu vya maridi dili sana.. mi nataka nianze biashara ya kuuza mabarafu kitaa.. nafunga kwenye vifuko vya askirimu.. sio hz za bakheresa au za uko kwenu huku hizo ni ICE cream.. ss kwasababu umeme ni issue nataka hizo barafu za uko uwe unanitumia.. c zinapatikana free tu mabarabarani... we nitumie mi nazipaki kwenye vifuko tena hizo za mchanga ndio zenyewe watu hawatahitaji kuweka maji walnalamba kama glukoz..... ila zimenitamanisha.. duh huku barafu tunanunua 50 au jiti kuweka kwenye maji ili tupate kunywa ya baridi huko... sir god amewezesha throug mufindi a.k.a mbheho yake menyewe....

Sasa wataka nikutumie kwa njia gani? Posta,kwa njia ya Meli au ndege? huku kwetu hatunywi maji baridi wala hatutumii barafu mpaka ifike Mwezi wa Sita mwakani ndio tunaweza kutumia hiyo barafu na maji baridi mimi sasa nipo karibu na Oil Heater


Oil Heater Nipe Address nitakutumia barafu inshallah



huaguanappliance$110316172%28s%29.jpg


 
Nenda mwaya kampe joto huyo...
analalamika sana hahahha lol
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asante
 
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asante

mmmmhhhh simba hachagui nyama....
lakini waweza kupata simba ambao wenyewe wanataka twiga tu..... hiyo safi..
lakini hawako wengi simba wa namna hiyo..
na dhani ule usemi ( if u go black u will never go back) ulikukuta....
nafarijika kusikia unataka kwenda black all the way lol
 
67779440-heavy-snow.jpg
Dozens of flights were canceled as heavy snow blanket Northern Europe.


Bitter cold kills 8, slams air traffic in Europe

Laurent Cipriani A boy plays in the snow in Lyon, central France, Wednesday, Dec. 1, 2010. Heavy snow and subzero temperatures swept across Europe, killing at least eight homeless people in Poland, closing major airports in Britain and Switzerland, and causing delays to rail and road traffic across the continent. (AP Photo/Laurent Cipriani)
 

Attachments

  • 76363_10150130026863916_783733915_7927980_2799927_n.jpg
    76363_10150130026863916_783733915_7927980_2799927_n.jpg
    45.5 KB · Views: 31
  • Hizo ndio barabar zetu huku tuliko jamani  shida tupu..jpg
    Hizo ndio barabar zetu huku tuliko jamani shida tupu..jpg
    31 KB · Views: 34
Winter weather in Europe: deep snow in Romania, ice in Germany, avalanche in Switzerland

<table class="image" cellpadding="0" cellspacing="0"> <tbody><tr><td>
romania-cars-burie_1574361i.jpg
</td></tr></tbody> </table>
Snow-covered cars are seen on a street in Bucharest. Heavy snow caused traffic chaos in Bulgaria and Romania, closing major highway links, delaying flights and trains and cutting off electricity




3906046.bin


Heavy snow is pictured on cars in Linlithgow, in Scotland, on November 30, 2010. The earliest widespread snowfall of a British winter since 1993 blanketed Scotland and northeast England at the weekend and the freezing weather has started moving down England's east coast.




 
Last edited by a moderator:
Kaka mabinti wa kibongo hawataniwi siku hizi atakuja kubeba begi lake akope nauli umuone katia timu halufu useme oo mara ilikua natania sijui nini ataanza kukuporomoshea matusi kama nini!!

usiache kurdi nyumbani home sweet home Dar joto la kukata na shoka kuna utadhani mtu amezima upepo kunafura joto la ajabu na Arusha hakueleweki siku mara jua kali sana lakini ni nafuu kidogo maana kuna ka upepeo fulani tofauti na Moro na Dar. Halafu pia Arusha kuna baridi ila siyo kali kama ile ya miaka ya 80/90 pamebadilika sana
 
Back
Top Bottom