Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
huyo jogoo wako muwekee alam anachelewa kuamka matokeo yake anaona noma kuwika saa tano asubuhi
Mura ! tigha gonsekya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo jogoo wako muwekee alam anachelewa kuamka matokeo yake anaona noma kuwika saa tano asubuhi
wanaona noma,kipindi fulani walikua na njaa kinoma idd amin akawapa ofa ya mbogamboga mix kibao akawaambia watume ndege wachukue wakamchunia.:teeth:Watoe oda tu uvinza chumvi ya kumwaga au wanaona haya kuomba msaada Afrika (Tanzania)
Eh! Kumbe UK ipo karibu na Urusi!?Haya Mkuu Mbu karibu sana nipo karibu na Urusi si unajuwa Urusi kulivyokuwa na Baridi ya +40 unaweza ukaganda ukitembea njiani lazima uanguke mara mbili au tatu mpaka kule unakofika upo hoi au utembee kidogo kigodo kama kobe karibu sana mkuu Mbu ingawa sijawahi kuona huku mdudu Mbu tangu nisafiri sasa ni miak 20 iliyopita .
Haya Mkuu Mbu karibu sana nipo karibu na Urusi si unajuwa Urusi kulivyokuwa na Baridi ya +40 unaweza ukaganda ukitembea njiani lazima uanguke mara mbili au tatu mpaka kule unakofika upo hoi au utembee kidogo kigodo kama kobe karibu sana mkuu Mbu ingawa sijawahi kuona huku mdudu Mbu tangu nisafiri sasa ni miak 20 iliyopita .
sasa kaka umenikubusha cha maana sana ... unajua kutokana na tatizo la umeme huku bac vitu vya maridi dili sana.. mi nataka nianze biashara ya kuuza mabarafu kitaa.. nafunga kwenye vifuko vya askirimu.. sio hz za bakheresa au za uko kwenu huku hizo ni ICE cream.. ss kwasababu umeme ni issue nataka hizo barafu za uko uwe unanitumia.. c zinapatikana free tu mabarabarani... we nitumie mi nazipaki kwenye vifuko tena hizo za mchanga ndio zenyewe watu hawatahitaji kuweka maji walnalamba kama glukoz..... ila zimenitamanisha.. duh huku barafu tunanunua 50 au jiti kuweka kwenye maji ili tupate kunywa ya baridi huko... sir god amewezesha throug mufindi a.k.a mbheho yake menyewe....
Oil Heater Nipe Address nitakutumia barafu inshallah
Naishi Nchi mbili Uk na Norway, Norway imekaribina na Urusi karibu sana njoo X-PASTER unakaribishwaEh! Kumbe UK ipo karibu na Urusi!?
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asanteNenda mwaya kampe joto huyo...
analalamika sana hahahha lol
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asante
Naona Uturuki ni East Afrika sio UghaibuniHivi Uturuki nako ni ughaibuni?
Sasa ghadhabu za nini ustaadh? au nimegonga Ikulu?Naona Uturuki ni East Afrika sio Ughaibuni
Bitter cold kills 8, slams air traffic in Europe
Mkuu we nipatie tu address yako au namba yako nitaku'call!Naishi Nchi mbili Uk na Norway, Norway imekaribina na Urusi karibu sana njoo X-PASTER unakaribishwa