Kwa wale tu Wanaodhani Israel ni Mgeni Middle East kitafuteni Kitabu cha Basic Facts of the United Nations ili msiwe Majuha tena

Kwa wale tu Wanaodhani Israel ni Mgeni Middle East kitafuteni Kitabu cha Basic Facts of the United Nations ili msiwe Majuha tena

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
 
We nae Ivi upo Dunia ya ngapi mpka leo hujui tu kwamba Israel ni Watu weusi,

hizo dini zinapotosha sana watu Vatican imefanikiwa kubadilisha historia ya Mtu mweusi kwa Asilimia kubwa san na Wamefanikiwa ila sasa watu wamekuw na maarifa na wanapenda kuhoji mambo,

kwahyo uhuni wao wote walioufanya wa kubadilisha Ukweli kwamba Watu weusi ndo waisrael wa kweli na Ndo taifa la Mungu sasa umejulikana,

kiufupi Taifa la Mungu (israel) Ni Africa na Waisrael ndo sisi waafrica, siku nikipata muda nitakuja kutoa elimu humu maan Wazungu wameshaharibu kabs Settings za kichwa cha mtu mweusi.

Nikalale sasa Alamsiki.
 
We nae Ivi upo Dunia ya ngapi mpka leo hujui tu kwamba Israel ni Watu weusi,

hizo dini zinapotosha sana watu Vatican imefanikiwa kubadilisha historia ya Mtu mweusi kwa Asilimia kubwa san na Wamefanikiwa ila sasa watu wamekuw na maarifa na wanapenda kuhoji mambo,

kwahyo uhuni wao wote walioufanya wa kubadilisha Ukweli kwamba Watu weusi ndo waisrael wa kweli na Ndo taifa la Mungu sasa imejulikana,

kiufupi Taifa la Mungu (israel) Ni Africa na Waisrael ndo sisi waafrica, siku nikipata muda nitakuja kutoa elimi humu maan Wazungu wameshaharibu kabs Settings za kichwa cha mtu mweusi.

Nikalale sasa Alamsiki.
Rubbish and Nonsensical.
 
Rubbish and Nonsensical.
Tatizo una kamba ya udini shingoni imebakia kutenguliwa stuli tu ikuue,

Ila ni vizuri kutafuta ukweli wa mambo kuliko kung'ang'ania Uongo uliokaririshwa tangu utoto,

hat mim nilikuw kam wew ila nilivyofatilia kiundani kabsa nikajua ukweli ni upi na uongo ni upi kiufup saiv karatasi za Biblia nawashia Moto,

Na wachungaj wote saiv nawaona kama Matapeli tu na Misikiti na makanisa naziona kam Wodi za wagonjwa wa Akili.
 
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Wewe endelea na umbea wa mkude huku kwenye duru za kimataifa umbea wako na upashkuna hauna nafasi dada yetu
 
Tatizo una kamba ya udini shingoni imebakia kutenguliwa stuli tu ikuue,

Ila ni vizuri kutafuta ukweli wa mambo kuliko kung'ang'ania Uongo uliokaririshwa tangu utoto,

hat mim nilikuw kam wew ila nilivyofatilia kiundani kabsa nikajua ukweli ni upi na uongo ni upi kiufup saiv karatasi za Biblia nawashia Moto,

Na wachungaj wote saiv nawaona kama Matapeli tu na Misikiti na makanisa naziona kam Wodi za wagonjwa wa Akili.
Rubbish and Nonsensical.
 
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Nilifikiliaga una akili ila unajichechetu tu, kumbe hamnazo. Hiyo united nation wao ndio wanatawala na hicho kitabu wameandika wao wonyewe alafu wewe mpuuzi nuataka kutuambia sisi hiyo nsio facts. PUMBAVU
 
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Bora umesema wewe Genta,kuna watu wanakaza fuvu na hawaelewi
 
Ha
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Hakuna ukristo israel! Na hao si wa kristo kama mnavyowazania
 
Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.

Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.

Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.

Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.

Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
100% true...nyongeza wakasome Torati 7:1-9,...hao watu wana ulinzi wa kipekee hata kama hatutaki ndio ukweli.
 
Tatizo una kamba ya udini shingoni imebakia kutenguliwa stuli tu ikuue,

Ila ni vizuri kutafuta ukweli wa mambo kuliko kung'ang'ania Uongo uliokaririshwa tangu utoto,

hat mim nilikuw kam wew ila nilivyofatilia kiundani kabsa nikajua ukweli ni upi na uongo ni upi kiufup saiv karatasi za Biblia nawashia Moto,

Na wachungaj wote saiv nawaona kama Matapeli tu na Misikiti na makanisa naziona kam Wodi za wagonjwa wa Akili.
We utakuwa unaabudu mizimu Kama Yeriko Nyerere.

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom