Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Naabudu Lóba TeteWe utakuwa unaabudu mizimu Kama Yeriko Nyerere.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naabudu Lóba TeteWe utakuwa unaabudu mizimu Kama Yeriko Nyerere.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Eti [emoji38][emoji38]Si ukiweke humu tukisome
Siku ukija kutoa hiyo elimu usikose kunitag mkuu Afghanistan Program ManagerWe nae Ivi upo Dunia ya ngapi mpka leo hujui tu kwamba Israel ni Watu weusi,
hizo dini zinapotosha sana watu Vatican imefanikiwa kubadilisha historia ya Mtu mweusi kwa Asilimia kubwa san na Wamefanikiwa ila sasa watu wamekuw na maarifa na wanapenda kuhoji mambo,
kwahyo uhuni wao wote walioufanya wa kubadilisha Ukweli kwamba Watu weusi ndo waisrael wa kweli na Ndo taifa la Mungu sasa umejulikana,
kiufupi Taifa la Mungu (israel) Ni Africa na Waisrael ndo sisi waafrica, siku nikipata muda nitakuja kutoa elimu humu maan Wazungu wameshaharibu kabs Settings za kichwa cha mtu mweusi.
Nikalale sasa Alamsiki.
Mwehu kabisa huyu jamaa [emoji38][emoji38]Kumbe we jamaa MPUUZI SANA
FaizaFoxy Soma hii, ukiona uelewi niambie nikuletee supu ya KitimotoWengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.
Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.
Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.
Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.
Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Hicho kijitabu kimeandikwa na mtu mwenye mtizamo kama wa kwako.Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli.
Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha hilo ni kwamba Wayahudi / Waisraeli ndiyo walikuwa wa Kwanza kuishi hilo Eneo kabla ya Kutawanywa maeneo mengine baada ya Kumkosea Mwenyezi Mungu ambaye baadae Aliwasamehe na kuendelea Kuwabariki na Kuwatumia Kiimani.
Vile vile kuna Majuha ( Fools ) fulani fulani huwa Wanatamba kuwa Watahakikisha kuwa Wanaifutilia mbali Israel ( nchi ) wakisahau kuwa Israel ndiyo Dunia na kwamba Mwenyezi Mungu alionekana kupitia Wao na hata Dunia hii tuliyoko sasa ni zao la wana Israel hivyo Mpumbavu Mmoja akisema kuwa ataifutilia mbali Israel ajue kuwa anasema ataifutilia mbali dunia nzima / yote.
Kwa mengi zaidi Kitafuteni Kitabu chenye Title ya THE BASIC FACTS OF THE UNITED NATIONS ili muwe mnayaua na kuyaelewa Mambo kuliko baadhi yenu kwa Upopoma wenu huwa mnakurupuka na mkijigawa kwa misingi ya Udini ( Uislamu na Ukristo ) juu ya Mzozo huu wa Israel na Palestine.
Myahudi wa Kiafrika nimeshamaliza.
Kuliko Aliyekuzaa?Mwehu kabisa huyu jamaa [emoji38][emoji38]
Usijali MkuuSiku ukija kutoa hiyo elimu usikose kunitag mkuu Afghanistan Program Manager