Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Aisee bora hizi paper wawe wanatunga tu utumishi wenyewe.

Kiukweli paper wametunga bunge wenyewe na maofisa wa utumishi wao leo walikua ni wasimamizi wa mchakato tu ila kuanzia materials zilikua na nembo ya bunge.

For real sijawahi kukutana na paper ngumu kama hii katika maisha yangu.
Mtakaotoboa kila la heri, mi kesho nageuza zangu nilikotoka.
 
Aisee bora hizi paper wawe wanatunga tu utumishi wenyewe.
Kiukweli paper wametunga bunge wenyewe na maofisa wa utumishi wao leo walikua ni wasimamizi wa mchakato tu ila kuanzia materials zilikua na nembo ya bunge.
For really sijawahi kukutana na paper ngumu kama hii katika maisha yangu.
Mtakaotoboa kila la heri,me kesho nageuza zangu nilikotoka.
usife moyo mkuu.

naomba unirithishe room yako mkuu, nimetua sasa kwenye hii ardhi wanamjengoni
 
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Sasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu

Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
 
Sasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu

Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
Hivi hii miradi ya REA sio moja ya majibu mkuu?😁😁😁
 
Sasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu

Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
kambuka mbona kama utanifaa kwa hili linalonisumbua
 
Back
Top Bottom