Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

Sasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu

Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
Swali jepesi, ila uzuri au ubaya wa wale jamaa ni kwamba huwa hawataki majibu ya kichwa. Wakikupa swali huwa wanataka ujibu kwa majibu yaleyale kuendana na walikolitoa hilo swali.
 
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Mzee swali hili nalo ulihitaji shule usome? Hata kama ungeshtukizwa hilo swali, ungeelezea malengo ya TZ kwenye umeme ukielezea kwa kina faida za Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere, na hata kugusa namna gani gesi asilia inavyoweza kutufikisha hapo.
 
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Maswali ninayokumbuka

Ilikuwa multiple choice maswali ya bungen, na matching items maswali ya bungeni. Maswali ninayoweza kukumbuka ambayo ni out of bungeni ni kuhusu nchi zilizopo united kingdom ni ngap, resolutions za UN ni ngapi hapa nimesahau swal exactly ila ulitakiwa kusema idadi ambapo ni multiple choice, kucompare How the parliament of commons ya UK ilimtreat Borris kwenye issue za Corona na the way Lowassa alikuwa treated kwenye Richmond scandal, hapa pia kuna multiple choice za kuchanganya, halafu kuandika short notes on what the government of Tanzania should do ili kubenefit from increase of population, duties the clerk should do kupromote welfare of the people, lingine lilikuwa statement inasema Tanzania imejidevote kuwa superpower kwenye kusupply electricity among East African Countries, discuss

Mengine sikumbuki wadau, ila kiujumla yalikuwa maswali 17, section A unajibu 6 kati ya 12, section B tuseme no 13 unajibu lote, section C unajibu matatu kati ya manne

On my side matching items na multiple choice zilikuwa zinachanganya sana. Ni kumuomba tu Mungu
 
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
  • mbona swali rahisi sana hili mkuu?
  • kwamba nchi yetu inapanga kuwa mzalishaji wa umeme mkuu ndani ya afrika mashariki na kati, sababu ni hizi hapa (i) mradi wa Mwalim nyerere hydropower i.e Stiglers gorge ambao utazalisha Megawati 2000, (ii) mradi wa nishati jadidifu i.e Renewable energy mfano upepo,(ii) miradi ya gesi asilia ya madimba,msimbati,mnazibay nk
 
Maswali ninayokumbuka

Ilikuwa multiple choice maswali ya bungen, na matching items maswali ya bungeni. Maswali ninayoweza kukumbuka ambayo ni out of bungeni ni kuhusu nchi zilizopo united kingdom ni ngap, resolutions za UN ni ngapi hapa nimesahau swal exactly ila ulitakiwa kusema idadi ambapo ni multiple choice, kucompare How the parliament of commons ya UK ilimtreat Borris kwenye issue za Corona na the way Lowassa alikuwa treated kwenye Richmond scandal, hapa pia kuna multiple choice za kuchanganya, halafu kuandika short notes on what the government of Tanzania should do ili kubenefit from increase of population, duties the clerk should do kupromote welfare of the people, lingine lilikuwa statement inasema Tanzania imejidevote kuwa superpower kwenye kusupply electricity among East African Countries, discuss

Mengine sikumbuki wadau, ila kiujumla yalikuwa maswali 17, section A unajibu 6 kati ya 12, section B tuseme no 13 unajibu lote, section C unajibu matatu kati ya manne

On my side matching items na multiple choice zilikuwa zinachanganya sana. Ni kumuomba tu Mungu
-nchi za uk -rahisi
-boris johnson alikuwa na kosa la kuandaa party na mjukumuiko akavunja kanuni za covid, akashtakiwa kwa makosa yake akakutwa na hatia
 
Aisee bora hizi paper wawe wanatunga tu utumishi wenyewe.

Kiukweli paper wametunga bunge wenyewe na maofisa wa utumishi wao leo walikua ni wasimamizi wa mchakato tu ila kuanzia materials zilikua na nembo ya bunge.

For really sijawahi kukutana na paper ngumu kama hii katika maisha yangu.
Mtakaotoboa kila la heri,me kesho nageuza zangu nilikotoka.
Sema watu msiseme mtihani rahisi huo sijui maswali rahisi, mgeona hizo multiple choice halafu zote wameweka uchague the incorrect answer. Ukiwa huku utasema swali rahisi hili sijui jibu hiv na hivi, hilo la Boris nan asiejua, lakin lilivyowekwa kwny mtihan. Mimi simlaumu kyagata. Ule mtihani ulikuwa mgumu sana, tena cha kushangaza hizo matching items na multiple choice ndo zilikuwa ngumu kuliko ata hizo short notes. Mm mwenyewe ningekuwa sijafanya huo mtihan mtu akanambia swali la sijui Tanzania kuwa super power in electricity mbona ningesema tu swali rahisi sana hilo. Paper zote zingekuwa rahisi basi watu wote hapa tungekuwa na kazi, ila unakuta ata mtihan unaukuta rahisi ila sio kitu kigen oral usiitwe. Msinibabue kaka zangu. Kimsingi tutiane moyo tu wote tupate kazi. Ndo lengo kubwa hapa na kuombeana
 
Sema watu msiseme mtihani rahisi huo sijui maswali rahisi, mgeona hizo multiple choice halafu zote wameweka uchague the incorrect answer. Ukiwa huku utasema swali rahisi hili sijui jibu hiv na hivi, hilo la Boris nan asiejua, lakin lilivyowekwa kwny mtihan. Mimi simlaumu kyagata. Ule mtihani ulikuwa mgumu sana, tena cha kushangaza hizo matching items na multiple choice ndo zilikuwa ngumu kuliko ata hizo short notes. Mm mwenyewe ningekuwa sijafanya huo mtihan mtu akanambia swali la sijui Tanzania kuwa super power in electricity mbona ningesema tu swali rahisi sana hilo. Paper zote zingekuwa rahisi basi watu wote hapa tungekuwa na kazi, ila unakuta ata mtihan unaukuta rahisi ila sio kitu kigen oral usiitwe. Msinibabue kaka zangu. Kimsingi tutiane moyo tu wote tupate kazi. Ndo lengo kubwa hapa na kuombeana
Unajua mkuu,humu kuna watu wao wanajifanya hawaelewi paper za utumishi ziko vipi.so ni kuwavumilia tu..mtu ukiwa nje ya chumba cha mtihani ni rahisi sana kuongea unavyojua
 
  • mbona swali rahisi sana hili mkuu?
  • kwamba nchi yetu inapanga kuwa mzalishaji wa umeme mkuu ndani ya afrika mashariki na kati, sababu ni hizi hapa (i) mradi wa Mwalim nyerere hydropower i.e Stiglers gorge ambao utazalisha Megawati 2000, (ii) mradi wa nishati jadidifu i.e Renewable energy mfano upepo,(ii) miradi ya gesi asilia ya madimba,msimbati,mnazibay nk
Upo sahihi lakini katika 10 unaweza pata 5 - 6. Hapo lazima uongeze na hizo nchi zingine za EA kuhusu demand na supply zao. Ni kama kufanya comparison ya hali ya sasa na baada ya miradi ya umeme kukamilika na tutaweza kuuza units ngapi kulingana na surplus

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hamna REA wanasupply tu hawausiani,,hapa unhecheza na Bwawa la Nyerere,Kw 2000+ kinxerezi 1 and 2, Mchuchuma na Liganga ulkuwa umemalza
Kabisa.
1. Nyerere
2. Gas
3. Makaa mawe mchuchuma
4. Kinyerezi
5. Water Bodies for Hydro power
6. Investment in energy sector

umeua hapo
 
Back
Top Bottom