Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kwa kuwwa sikuwa chumba cha pepa, mbona maswali haya yanajibika fressh tu.Maswali ninayokumbuka
Ilikuwa multiple choice maswali ya bungen, na matching items maswali ya bungeni. Maswali ninayoweza kukumbuka ambayo ni out of bungeni ni kuhusu nchi zilizopo united kingdom ni ngap, resolutions za UN ni ngapi hapa nimesahau swal exactly ila ulitakiwa kusema idadi ambapo ni multiple choice, kucompare How the parliament of commons ya UK ilimtreat Borris kwenye issue za Corona na the way Lowassa alikuwa treated kwenye Richmond scandal, hapa pia kuna multiple choice za kuchanganya, halafu kuandika short notes on what the government of Tanzania should do ili kubenefit from increase of population, duties the clerk should do kupromote welfare of the people, lingine lilikuwa statement inasema Tanzania imejidevote kuwa superpower kwenye kusupply electricity among East African Countries, discuss
Mengine sikumbuki wadau, ila kiujumla yalikuwa maswali 17, section A unajibu 6 kati ya 12, section B tuseme no 13 unajibu lote, section C unajibu matatu kati ya manne
On my side matching items na multiple choice zilikuwa zinachanganya sana. Ni kumuomba tu Mungu
Nimekuelewa mkuu.Kwenye hvyo vitu 0 Haina tofauti na 68.. Ikiwa wote ni NOT SELECTED..tena huyo aliyepata kubwa akaachwa ndo anaumia zaidi
Kwa kuwa hukuwa kwenye chumba cha pepa, ata mimi nliekuwa ndani nliona hivyo, ila hapo kuna mtu ana 0, kuna mtu ana 1, kuna wa kwanza ana 67, huwez sema nyote mlikuwa vilaza kiasi hicho mtu asipate ata 80 .Au kwa kuwwa sikuwa chumba cha pepa, mbona maswali haya yanajibika fressh tu.
Tafuta chips funga hapo Dom ujipoze utakuwa mwepesi bila majoziPaper nimeharibu hii hatari.dume zima na mapum.bu yangu nimekula 34.aibu hii
Tafuta chips funga hapo Dom ujipoze utakuwa mwepesi bila majozi
Sasa si unajimwaga na dili la nyerere hydropower, renewable energy Billeteral contract tulizoingia juzi. Gas plus Current REA plans na hivyo tutameet internsl demands by 100% kinachobaki ni kuuza nje ...Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Billeteral Ni nini mkuu?Sasa si unajimwaga na dili la nyerere hydropower, renewable energy Billeteral contract tulizoingia juzi. Gas plus Current REA plans na hivyo tutameet internsl demands by 100% kinachobaki ni kuuza nje ...
TAA mbona majina washatoa kama sikosei ni leo wametoaOya mwana,nyie inakuwaje mnaitwa ? Mimi niliomba TAA mpaka leo nimeandikiwa tu received toka mwezi wa 6
Yenye (Makubaliano) ya Pande mbili, ukiona Bi- inamaanisha 2. Mfano Bicycle...(tairi mbili), Bilingual ..lugha mbiliBilleteral Ni nini mkuu?
HaswaaHahaha, inaonekana Mkuu hizi mambo za take away uko vizuri sana kuzitumia.
Ni bilateral mkuu.Yenye (Makubaliano) ya Pande mbili, ukiona Bi- inamaanisha 2. Mfano Bicycle...(tairi mbili), Bilingual ..lugha mbili
Hakushtakiwa ila uchunguzi ulibainisha hivyo, hakuwa impeached kwani alishinda confidence vote ila aliamua kujiuzulu.-nchi za uk -rahisi
-boris johnson alikuwa na kosa la kuandaa party na mjukumuiko akavunja kanuni za covid, akashtakiwa kwa makosa yake akakutwa na hatia
Ukishaona hujui swali lolote kwenye paper ni kuachana nayo kuliko kupata sifuriMwingine ana sifuri, wewe upo juu mkuu