Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

Kwa wale tuliofanya paper ya Katibu wa Bunge

Maswali ninayokumbuka

Ilikuwa multiple choice maswali ya bungen, na matching items maswali ya bungeni. Maswali ninayoweza kukumbuka ambayo ni out of bungeni ni kuhusu nchi zilizopo united kingdom ni ngap, resolutions za UN ni ngapi hapa nimesahau swal exactly ila ulitakiwa kusema idadi ambapo ni multiple choice, kucompare How the parliament of commons ya UK ilimtreat Borris kwenye issue za Corona na the way Lowassa alikuwa treated kwenye Richmond scandal, hapa pia kuna multiple choice za kuchanganya, halafu kuandika short notes on what the government of Tanzania should do ili kubenefit from increase of population, duties the clerk should do kupromote welfare of the people, lingine lilikuwa statement inasema Tanzania imejidevote kuwa superpower kwenye kusupply electricity among East African Countries, discuss

Mengine sikumbuki wadau, ila kiujumla yalikuwa maswali 17, section A unajibu 6 kati ya 12, section B tuseme no 13 unajibu lote, section C unajibu matatu kati ya manne

On my side matching items na multiple choice zilikuwa zinachanganya sana. Ni kumuomba tu Mungu
Au kwa kuwwa sikuwa chumba cha pepa, mbona maswali haya yanajibika fressh tu.
 
Au kwa kuwwa sikuwa chumba cha pepa, mbona maswali haya yanajibika fressh tu.
Kwa kuwa hukuwa kwenye chumba cha pepa, ata mimi nliekuwa ndani nliona hivyo, ila hapo kuna mtu ana 0, kuna mtu ana 1, kuna wa kwanza ana 67, huwez sema nyote mlikuwa vilaza kiasi hicho mtu asipate ata 80 .
 
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Sasa si unajimwaga na dili la nyerere hydropower, renewable energy Billeteral contract tulizoingia juzi. Gas plus Current REA plans na hivyo tutameet internsl demands by 100% kinachobaki ni kuuza nje ...
 
-nchi za uk -rahisi
-boris johnson alikuwa na kosa la kuandaa party na mjukumuiko akavunja kanuni za covid, akashtakiwa kwa makosa yake akakutwa na hatia
Hakushtakiwa ila uchunguzi ulibainisha hivyo, hakuwa impeached kwani alishinda confidence vote ila aliamua kujiuzulu.
 
Hizi zile namba za mtihani kwenye hii kada zilikua zinaendana na index yako kama ilivyo kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili?
 
Back
Top Bottom