Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Iliwekwa website gani Mkuu,ili badae system ikiwa powa niangalie jinaMbona wametoa alafu wameondoa tena au ni system tu inasumbua kwangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iliwekwa website gani Mkuu,ili badae system ikiwa powa niangalie jinaMbona wametoa alafu wameondoa tena au ni system tu inasumbua kwangu.
Waliweka ya adem, iae, tengeru na mengine mengiIliwekwa website gani Mkuu,ili badae system ikiwa powa niangalie jina
Naiomba mkuu
Hiyo hapoView attachment 20220709161138TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI ZA UMMA.pdfNajarib kuweka naona inakataa ila usaili unaanza 14 mpaka 27
Majina ya kuitwa yalitolewa leo na yamefutwaOya mwana,nyie inakuwaje mnaitwa ? Mimi niliomba TAA mpaka leo nimeandikiwa tu received toka mwezi wa 6
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sawa cwthrtUkitoka huko uje na kwangu baby
Una kicheko kizuri[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sawa cwthrt
AminaUna kicheko kizuri
Mungu akubariki na wewe mwaka huu upate shavu
Dah 49 mark..1 mark ningeenda...Naona Bunge washalimwaga uno huko.. Matokeo yote hadharani..
Mzigo ushawekwa huko wadau wangu wa kupambania Mirija ya Asali
Usife moyo mkuu, jiandae kwa ungwe nyingineDah 49 mark..1 mark ningeenda...
All the best Mungu awatangulie
Tupo wengi, ata mimi, ila bado mtengemezi wetu ni Mungu kuna siku atatuona, labda anatuandalia [emoji1431] Tujipe moyo[emoji3062][emoji23]Dah 49 mark..1 mark ningeenda...
All the best Mungu awatangulie
Mwingine ana sifuri, wewe upo juu mkuuPaper nimeharibu hii hatari.dume zima na mapum.bu yangu nimekula 34.aibu hii
Kabisa. Tusikate tamaa .tuanze kusave hela tenaTupo wengi, ata mimi, ila bado mtengemezi wetu ni Mungu kuna siku atatuona, labda anatuandalia [emoji1431] Tujipe moyo[emoji3062][emoji23]
Kwenye hvyo vitu 0 Haina tofauti na 68.. Ikiwa wote ni NOT SELECTED..tena huyo aliyepata kubwa akaachwa ndo anaumia zaidiMwingine ana sifuri, wewe upo juu mkuu