mmmhhhh hakuna kitu kama icho,hapo bila ya kuwa na mtu ni changamoto kupata nafasiMtatoboa tu,usikate tamaa.
We subiri,you never know!mmmhhhh hakuna kitu kama icho,hapo bila ya kuwa na mtu ni changamoto kupata nafasi
Oya mwana,nyie inakuwaje mnaitwa ? Mimi niliomba TAA mpaka leo nimeandikiwa tu received toka mwezi wa 6Wale tulienda Dom kutarii tukutane hapaπππ
usife moyo mkuu.Aisee bora hizi paper wawe wanatunga tu utumishi wenyewe.
Kiukweli paper wametunga bunge wenyewe na maofisa wa utumishi wao leo walikua ni wasimamizi wa mchakato tu ila kuanzia materials zilikua na nembo ya bunge.
For really sijawahi kukutana na paper ngumu kama hii katika maisha yangu.
Mtakaotoboa kila la heri,me kesho nageuza zangu nilikotoka.
We si uliamua ubakie Rufiji ulime mpunga au nauli ulipata niniWale tulienda Dom kutarii tukutane hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi subiria.. utaitwa mda ukifikaOya mwana,nyie inakuwaje mnaitwa ? Mimi niliomba TAA mpaka leo nimeandikiwa tu received toka mwezi wa 6
Sikuenda mkuu,,, huoni hyo emoge ya Joking.. Bado Niko zangu RufijiWe si uliamua ubakie Rufiji ulime mpunga au nauli ulipata nini
Tanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.DiscussWeka hapa maswali hata matatu tuone ugumu wake, kuna kuwa na ugumu yes ila pia kuna maswali ni Common kwa wote, na ili ufaulu usaili wowote unapaswa kufaulu hayo na yale magumu kiasi.
Swali jepesi sana hili kijana,bila shaka hapa lazima Bwawa la Nyerere liwe moja ya mfano,Natural Gas ya Mtwara,projects za umeme wa Upepo Singida,Makaa ya Mawe nk,ni knowledge ya kawaida tu unalijibu swali hiloTanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Sasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tuTanzania is planning to be electricity superpower in east and central africa.Discuss
Hivi hii miradi ya REA sio moja ya majibu mkuu?πππSasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu
Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
Hamna REA wanasupply tu hawausiani,,hapa unhecheza na Bwawa la Nyerere,Kw 2000+ kinxerezi 1 and 2, Mchuchuma na Liganga ulkuwa umemalzaHivi hii miradi ya REA sio moja ya majibu mkuu?[emoji16][emoji16][emoji16]
kambuka mbona kama utanifaa kwa hili linalonisumbuaSasa mwamba kumbe ndio haya maswali yenyewe mkuu. Mbona sio magumu ungeongelea Julius Nyerere Hydro power jumlisha gesi jumlisha mchuchuma mbona ungemaliza. Shida mayanki wengi hamuitumii mitandao vizuri, mengi huwa yanaelezwa sema huwa tunalipuka na kukosoa tunasahau kusoma hadi mwisho. Hapo ungemwaga nyanga za bwawa liko asilimia ngapi kukamilika, likikamilika litatoa megawati ngapi na ngapi tunazihitaji Tanzania the rest tunauza tu
Samahani lakini nimekuchana wakati upo kwenye kipindi kigumu
Lipi Hilo Karibukambuka mbona kama utanifaa kwa hili linalonisumbua