HahahahahaMimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1999, tulikuwa na ligi, sasa tukafika fainali kwa bahati sana na timu tuliyoingia nayo ilikuwa kiboko. Ikabidi tupate namna ya kutafuta mtaalam, nikachaguliwa kuongoza wapiga ramli, tulienda usiku manyanga yakapigwa, jini akaja akaanza kutupa sharti la kwanza,
1. Tulitakiwa kuleta m.b.oo ya mwehu,
2. Kuku mweusi.
Ikabidi tucheke, yule jini akaanza kutandaza makofi gizani, ilibidi tutimue mbio,
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🙌🙌🙌da mm niliwahi kwenda kwa mganga bhana kisa mchepuko
INSHU ILIKUWA HIVI
Nilihamishwa kikazi mwaka 2017 kwenda mbeya wilaya ya kyela..so familia niliiacha Dar..kufika kule baada ya miez 2,3 kama wanaume wengi tulivyo..nikashikwa na GENYE la hatari na mm sina tabia ya kuchukua wadada wa bei rahic rahic..mm napendaga wadada wenye status flan hv(ameajiriwa au amejiajiri)..cha msingi awe na kitu cha kumwingizia hela..maana mm pia nna KAUBAHILI flani hv
Sasa nikapata manzi mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye taasisi iliyo chini ya ufadhili wa watu wa marekani..Sex 2,3 manzi akawa hazioni siku zake(alinitegea makusudi)baada ya kama wiki hvi akapima mimba akakuta ni POSITIVE....nikamwambia atoe mimba AKAGOMA KATA KATA
Kidume nikapiga hesabu nikaona njia zote za kumshawishi ni ngumu..siku moja natoka zangu mjini bodadaboda niliemkodi 4m no where nikamshirikisha inshu yangu..akanambia hyo SIMPLE tu..kama niko radhi anipeleke kwa wataalamu,Nikakubali
Kesho yake akanipeleka..kufika mganga akanambia niandike jina lake kwenye karatasi...akaichukua akaiweka kwenye chungu..akachukua madawa ya kienyeji mengi mengi akayamimina kwenye chungu..akachukua mafuta ya taa akawa anayamimina kwenye chungu then akachukua njiti akaiwasha akaitupia ndan ya chungu...ukatokea moto mkubwa tu...akawa kama anakoroga koroga huku anaongea maneno ya ajabu ajabu hata siyaelew...ghafla ule moto ukazima paaap..AKANAMBIA KAZI IMEISHA..KOMBORA LISHATUMWA
Then akanipa sindano imechomewa kwenye karatasi flan akanambia nikaitupe sehem ambayo hakuna mtu atakaeniona
Baada Ya kumaliza kazi..jioni dem ananipigia simu kunambia damu zimemtoka...so akaenda hospital kupima akakutwa hana mimba
Yani hapo niliamini kweli Uganga upo na yule demu nilimterminate kbsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo inatokea sana huku Usukumani, unakuta Ng'wana Luhanya ameenda kuloga usiku kumbe jamaa limezindika ile nyumba, anajifalaguafalagua mpaka kunakucha yuko hapo hapo na masempele yake. Mpaka mwenye nyumba anaamka! Sasa hapo nikiamua kumfanyia mauaji?Haiwezekani na haitakaa itokee
Jr[emoji769]
Hhhaa ngoja tuone namwaminia..raha ya mwanamke kupewa hela jamani😅akituma no yangu si unaijua...Rizki kugawana...
Hahaaaaaa.....Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1999, tulikuwa na ligi, sasa tukafika fainali kwa bahati sana na timu tuliyoingia nayo ilikuwa kiboko. Ikabidi tupate namna ya kutafuta mtaalam, nikachaguliwa kuongoza wapiga ramli, tulienda usiku manyanga yakapigwa, jini akaja akaanza kutupa sharti la kwanza,
1. Tulitakiwa kuleta m.b.oo ya mwehu,
2. Kuku mweusi.
Ikabidi tucheke, yule jini akaanza kutandaza makofi gizani, ilibidi tutimue mbio,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tupe connectionMie kwa waganga siachi kwenda madhari mambo yangu yananyooka na hivyo baba yangu aliniambia nitafute hela kwa njia yoyote ile hata uchawi ilimladi nisikubali kuwa kapuku na kweli bana kuliko kuiamini mizimu ya wazungu na warabu ni bora niabudu mizimu ya kwetu africa tu na imenisogeza kweli si haba
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]weeee alaf akizima
Niliwahi kuelezwa na jamaa mmoja kuwa walikuwa wanachimba TANZANITE kule Mererani., mmoja wao alikwenda kwa mganga ilipate madini. Huyu jamaa alipewa masharti ya kuoga pale anapochimba madini mchana kweupe!Wale wengine walishangaa kuona jamaa anashuka ndani ya gari huku akiwa na ndoo ya maji , akaanza kuoga!Sasa si unaona, yaani safari moja huanzisha nyingine, huyo angekuja kupukutisha ukoo mzima halafu baadae wangemchukua na yeye akatumikie wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen amen Mkuu.
asanteADONAI,, YAHWEH,, ELOHIM.....mengine manne nakupa homework ukatafte..ukishindwa basiii
Huyuu mtabee aje na Augustino[emoji3]Where are you Mr. jooohs.??
We jamaaa duuh usije ukawa umemfunga kizazi dada wa watuda mm niliwahi kwenda kwa mganga bhana kisa mchepuko
INSHU ILIKUWA HIVI
Nilihamishwa kikazi mwaka 2017 kwenda mbeya wilaya ya kyela..so familia niliiacha Dar..kufika kule baada ya miez 2,3 kama wanaume wengi tulivyo..nikashikwa na GENYE la hatari na mm sina tabia ya kuchukua wadada wa bei rahic rahic..mm napendaga wadada wenye status flan hv(ameajiriwa au amejiajiri)..cha msingi awe na kitu cha kumwingizia hela..maana mm pia nna KAUBAHILI flani hv
Sasa nikapata manzi mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye taasisi iliyo chini ya ufadhili wa watu wa marekani..Sex 2,3 manzi akawa hazioni siku zake(alinitegea makusudi)baada ya kama wiki hvi akapima mimba akakuta ni POSITIVE....nikamwambia atoe mimba AKAGOMA KATA KATA
Kidume nikapiga hesabu nikaona njia zote za kumshawishi ni ngumu..siku moja natoka zangu mjini bodadaboda niliemkodi 4m no where nikamshirikisha inshu yangu..akanambia hyo SIMPLE tu..kama niko radhi anipeleke kwa wataalamu,Nikakubali
Kesho yake akanipeleka..kufika mganga akanambia niandike jina lake kwenye karatasi...akaichukua akaiweka kwenye chungu..akachukua madawa ya kienyeji mengi mengi akayamimina kwenye chungu..akachukua mafuta ya taa akawa anayamimina kwenye chungu then akachukua njiti akaiwasha akaitupia ndan ya chungu...ukatokea moto mkubwa tu...akawa kama anakoroga koroga huku anaongea maneno ya ajabu ajabu hata siyaelew...ghafla ule moto ukazima paaap..AKANAMBIA KAZI IMEISHA..KOMBORA LISHATUMWA
Then akanipa sindano imechomewa kwenye karatasi flan akanambia nikaitupe sehem ambayo hakuna mtu atakaeniona
Baada Ya kumaliza kazi..jioni dem ananipigia simu kunambia damu zimemtoka...so akaenda hospital kupima akakutwa hana mimba
Yani hapo niliamini kweli Uganga upo na yule demu nilimterminate kbsa
Sent using Jamii Forums mobile app
90% ya watz na waafrica kwa ujumla ushiriki mambo ya kishirikina, kutafuta pesa au mapenziWengi watakaa hawakuwahi kwenda kwa waganga lakini bongo tunajuana vizuri tu.