Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1999, tulikuwa na ligi, sasa tukafika fainali kwa bahati sana na timu tuliyoingia nayo ilikuwa kiboko. Ikabidi tupate namna ya kutafuta mtaalam, nikachaguliwa kuongoza wapiga ramli, tulienda usiku manyanga yakapigwa, jini akaja akaanza kutupa sharti la kwanza,

1. Tulitakiwa kuleta m.b.oo ya mwehu,
2. Kuku mweusi.
Ikabidi tucheke, yule jini akaanza kutandaza makofi gizani, ilibidi tutimue mbio,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
da mm niliwahi kwenda kwa mganga bhana kisa mchepuko

INSHU ILIKUWA HIVI

Nilihamishwa kikazi mwaka 2017 kwenda mbeya wilaya ya kyela..so familia niliiacha Dar..kufika kule baada ya miez 2,3 kama wanaume wengi tulivyo..nikashikwa na GENYE la hatari na mm sina tabia ya kuchukua wadada wa bei rahic rahic..mm napendaga wadada wenye status flan hv(ameajiriwa au amejiajiri)..cha msingi awe na kitu cha kumwingizia hela..maana mm pia nna KAUBAHILI flani hv

Sasa nikapata manzi mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye taasisi iliyo chini ya ufadhili wa watu wa marekani..Sex 2,3 manzi akawa hazioni siku zake(alinitegea makusudi)baada ya kama wiki hvi akapima mimba akakuta ni POSITIVE....nikamwambia atoe mimba AKAGOMA KATA KATA

Kidume nikapiga hesabu nikaona njia zote za kumshawishi ni ngumu..siku moja natoka zangu mjini bodadaboda niliemkodi 4m no where nikamshirikisha inshu yangu..akanambia hyo SIMPLE tu..kama niko radhi anipeleke kwa wataalamu,Nikakubali

Kesho yake akanipeleka..kufika mganga akanambia niandike jina lake kwenye karatasi...akaichukua akaiweka kwenye chungu..akachukua madawa ya kienyeji mengi mengi akayamimina kwenye chungu..akachukua mafuta ya taa akawa anayamimina kwenye chungu then akachukua njiti akaiwasha akaitupia ndan ya chungu...ukatokea moto mkubwa tu...akawa kama anakoroga koroga huku anaongea maneno ya ajabu ajabu hata siyaelew...ghafla ule moto ukazima paaap..AKANAMBIA KAZI IMEISHA..KOMBORA LISHATUMWA

Then akanipa sindano imechomewa kwenye karatasi flan akanambia nikaitupe sehem ambayo hakuna mtu atakaeniona

Baada Ya kumaliza kazi..jioni dem ananipigia simu kunambia damu zimemtoka...so akaenda hospital kupima akakutwa hana mimba

Yani hapo niliamini kweli Uganga upo na yule demu nilimterminate kbsa


Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🙌🙌🙌
 
Haiwezekani na haitakaa itokee

Jr[emoji769]
Mkuu hiyo inatokea sana huku Usukumani, unakuta Ng'wana Luhanya ameenda kuloga usiku kumbe jamaa limezindika ile nyumba, anajifalaguafalagua mpaka kunakucha yuko hapo hapo na masempele yake. Mpaka mwenye nyumba anaamka! Sasa hapo nikiamua kumfanyia mauaji?
 
Waganga wenyewe wanaogopa corona, eti uvae barakoa na uoshe mikono kilingeni..!!
 
Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1999, tulikuwa na ligi, sasa tukafika fainali kwa bahati sana na timu tuliyoingia nayo ilikuwa kiboko. Ikabidi tupate namna ya kutafuta mtaalam, nikachaguliwa kuongoza wapiga ramli, tulienda usiku manyanga yakapigwa, jini akaja akaanza kutupa sharti la kwanza,

1. Tulitakiwa kuleta m.b.oo ya mwehu,
2. Kuku mweusi.
Ikabidi tucheke, yule jini akaanza kutandaza makofi gizani, ilibidi tutimue mbio,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaa.....
Naji mngemrudishiaaa.
 
Mie kwa waganga siachi kwenda madhari mambo yangu yananyooka na hivyo baba yangu aliniambia nitafute hela kwa njia yoyote ile hata uchawi ilimladi nisikubali kuwa kapuku na kweli bana kuliko kuiamini mizimu ya wazungu na warabu ni bora niabudu mizimu ya kwetu africa tu na imenisogeza kweli si haba
Mkuu tupe connection

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si unaona, yaani safari moja huanzisha nyingine, huyo angekuja kupukutisha ukoo mzima halafu baadae wangemchukua na yeye akatumikie wengne

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kuelezwa na jamaa mmoja kuwa walikuwa wanachimba TANZANITE kule Mererani., mmoja wao alikwenda kwa mganga ilipate madini. Huyu jamaa alipewa masharti ya kuoga pale anapochimba madini mchana kweupe!Wale wengine walishangaa kuona jamaa anashuka ndani ya gari huku akiwa na ndoo ya maji , akaanza kuoga!
 
Allah anistiri saana nisifike huku kwa kweli! Mara zoote namuomba allah anikinge na roho ya kishirikina kwa kweli, kuingia rahisi ila kutoka huko mtihani.

Kuna mitihani mtu inakufika, unakosa pa kushika, kwangu mungu ndio kimbilio pekee, najua katika huo mtihani pia kuna mtihani wa subira upo juu yake, lazima niwe na subira, nikijiuliza kwa mema gani hasa ninayofanya kiasi anijibu haraka haraka hivyo huwa sioni, hivyo nakuwa mpole nikijibidiisha kumuomba anivue hayo majanga.
Najua kila jambo ni mtihani lazima nifaulu ama nifeli(yaani nishukuru ama nikufuru) so huwa natembea humu.

Sisemi mie mwema saana ama sikosei, kuna yangu mabovu nayabananga(namuomba allah anistiri nadhani nikipata mke nitakuwa nimeanikiwa kwa kiasi kikubwa kuepukana na majanga yangu), ila hili la shiriki najitahidi zaidi nisiyabanange. Nimeona watu wangu kadhaa waliolowea katika mambo haya, ushirikina miyeyusho.
 
da mm niliwahi kwenda kwa mganga bhana kisa mchepuko

INSHU ILIKUWA HIVI

Nilihamishwa kikazi mwaka 2017 kwenda mbeya wilaya ya kyela..so familia niliiacha Dar..kufika kule baada ya miez 2,3 kama wanaume wengi tulivyo..nikashikwa na GENYE la hatari na mm sina tabia ya kuchukua wadada wa bei rahic rahic..mm napendaga wadada wenye status flan hv(ameajiriwa au amejiajiri)..cha msingi awe na kitu cha kumwingizia hela..maana mm pia nna KAUBAHILI flani hv

Sasa nikapata manzi mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye taasisi iliyo chini ya ufadhili wa watu wa marekani..Sex 2,3 manzi akawa hazioni siku zake(alinitegea makusudi)baada ya kama wiki hvi akapima mimba akakuta ni POSITIVE....nikamwambia atoe mimba AKAGOMA KATA KATA

Kidume nikapiga hesabu nikaona njia zote za kumshawishi ni ngumu..siku moja natoka zangu mjini bodadaboda niliemkodi 4m no where nikamshirikisha inshu yangu..akanambia hyo SIMPLE tu..kama niko radhi anipeleke kwa wataalamu,Nikakubali

Kesho yake akanipeleka..kufika mganga akanambia niandike jina lake kwenye karatasi...akaichukua akaiweka kwenye chungu..akachukua madawa ya kienyeji mengi mengi akayamimina kwenye chungu..akachukua mafuta ya taa akawa anayamimina kwenye chungu then akachukua njiti akaiwasha akaitupia ndan ya chungu...ukatokea moto mkubwa tu...akawa kama anakoroga koroga huku anaongea maneno ya ajabu ajabu hata siyaelew...ghafla ule moto ukazima paaap..AKANAMBIA KAZI IMEISHA..KOMBORA LISHATUMWA

Then akanipa sindano imechomewa kwenye karatasi flan akanambia nikaitupe sehem ambayo hakuna mtu atakaeniona

Baada Ya kumaliza kazi..jioni dem ananipigia simu kunambia damu zimemtoka...so akaenda hospital kupima akakutwa hana mimba

Yani hapo niliamini kweli Uganga upo na yule demu nilimterminate kbsa


Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaaa duuh usije ukawa umemfunga kizazi dada wa watu

l love you mamy .
 
Back
Top Bottom