BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Sasa wazazi wepi tena si ndo ao ao au?Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.
Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .