Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

leta chozi la simba,mkojo wa nyenyere na njiwa aliyefiwa na mumewe...!!!
hapo ndipo utabloo.... ukihuliza unavipataje..?.hapo sasa ndio njia nyeupeee ya kpigwaaa....
 
Sitoi jibu la moja kwa moja kuwa nimewahi ama sijawahi...ila waganga wapo na uganga upo...africa tulikuwa na mila za kiganga...wazungu wakaziboresha...tulitumia miti shamba wao wakatuletea madawa lakini waliyaboresha kutoka kwenye miti shamba kuwa madawa...ila matibabu ni yale yale....ata mambo ya giza pia yapo....
 
Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.

Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .
Hahahaha imebidi nicheke kwa sauti!!....
 
Sitoi jibu la moja kwa moja kuwa nimewahi ama sijawahi...ila waganga wapo na uganga upo...africa tulikuwa na mila za kiganga...wazungu wakaziboresha...tulitumia miti shamba wao wakatuletea madawa lakini waliyaboresha kutoka kwenye miti shamba kuwa madawa...ila matibabu ni yale yale....ata mambo ya giza pia yapo....
Umerudi nyumbani ulipoitwa na mama na ajira umeshaitwa kazini???
 
Niliwahi kwenda kwa sangoma kutaka kubadili roho mbaya ya bwana yule iwe nzuri,akanipa masharti ya kupeleka mbuzi wa kijani mwenye mistari ya njano,bado namtafuta mbuzi
Huyo hawezi kukusaidia. Siunaona kakutuma kitu kisichopatikana! Muulize wa kuchora anafaa?.
 
sasa kama hutakaa ukanyage uko kwanini waulizia mambo ya uko?...ya kaisari muachie kaisari atiii yakheee
Kila mtu huwa ana imani yake

Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.

Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.

Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?

Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo

Tujuzane

Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
 
Kumbe kuna wanaume nao huwa wanaroga??
Mapenzi mamaa.
Usiombe yakakukuta.
Mpinzani wangu alikuwa ana hela.Mimi sina.alaf demu kanimwaga.nilikuwa nikiwaona wapo wawili roho inauma kweliii.nikaona hapa msaada ni nguvu za Giza.nilifanikiwa kumrudisha.ila sikumpenda kama mwanzo.maana nilijua ule upendo hautoki moyoni mwake.ni dawa tu zimempumbaza.muda wowote anaweza kuondoka.na ndicho kilichotokea.
 
Maisha haya kila mtu ana Siri zake nilishawahi kwenda mdogo wangu alikuwa Mgonjwa hospitality wenyewe walishauri tuanfalie njia nyingine. Ndiyo tulienda huko
Mlifanikiwa baada ya kufuata njia nyingine.?
 
Nilipelekwa na mganga mtoni maeneo ya Msambiazi kwenye zile kona,mganga akaita mamba mtoni akaniambia nimkalie kichwani,wakati akifanya hivyo alikuwa amenishika nisikimbie.
Yaliyotekea ...nilijikuta kibenderani (polisi)nahojiwa kwa kosa la kushambulia na kutaka ku uwa
 
Sasa si bora huyo Sangoma niliwahi kwenda kwa mchungaji fulani tegeta ni mama hivi katika mazungumzo yetu aliniambia eti matatizo yangu yanatokana na jina langu Hahahaha nilicheka sana kimoyomoyo mchungaji anatoa ushauri wa kigangaganga Hahahaha akaniombea pale wapjii
Hahahaaa huyo kweli sangoma
 
Mapenzi yalinipeleka huko nilipopigwa chini nikageuza mteja nikihakishiwa atarudi nikasubiria jibu sikufanikiwa aliolewa huko jumla, toka hapo sina imani tena na watu hao,na niliapa sitogusa wala kukanyaga kwa mganga,nikukumbuke nimeliwa hela nyingi na sikupata msaada,ila sipingi wala kudharau mambo ya waganga kwa wanaoamini sababu ile ni imani kila MTU anavoamini.Me naamini ktk laws of nature ,naamini ktk positive thinking.
 
Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tu
We jamaa mshenzi, hahahahah sema mnawaoneaga sana wadada na wamama!
 
Back
Top Bottom