Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
- Thread starter
- #101
Ukiona Joseverest haja comment wa kwanza, ujue kuna mganga kampitiaUkimuona kuku kwa mganga jua kaponzwa na rangi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona Joseverest haja comment wa kwanza, ujue kuna mganga kampitiaUkimuona kuku kwa mganga jua kaponzwa na rangi yake
Hahaha wamenilogaUkiona Joseverest haja comment wa kwanza, ujue kuna mganga kampitia
Hivi unaanzaje kwenda kwa mganga kwa akili ya mwananke,hivi watu kama nyie ndo huwa mnajinyonga au Julia mkiachwa,make mwenyewe akisepa kwao siwezi kumfuata MTU hakutakiMsema kweli mpenzi wa mungu.nilishakwenda kwa mganga.kwa ajili ya demu.tulikuwa wapenzi ghafla aka badilika.akawa mgumu kinomaaa.hanipendi tena.niliumia.kuna rafiki yangu yeye ni mganga nikamueleza akasema tulia atarudi.
Tukafanya Mandingo mixer kuoga njia panda usiku.kuchoma sana UDI.kupasua Nazi n.k
Kiukweli demu alianza kubadilika na kuanza kuongea na Mimi.Mara salam n.k.
Siku zikapita tukarudi tena kwenye penzi.ila hatukudumu tuliachana.
Ushauri kama MTU hakupendi ACHANA NAE.MADAWA HUISHA NGUVU.
Nilipelekwa na mganga mtoni maeneo ya Msambiazi kwenye zile kona,mganga akaita mamba mtoni akaniambia nimkalie kichwani,wakati akifanya hivyo alikuwa amenishika nisikimbie.
Yaliyotekea ...nilijikuta kibenderani (polisi)nahojiwa kwa kosa la kushambulia na kutaka ku uwa
Mkuu yaelekea mlipigwa dozi ya aina yake.somo zuriilikuwa ni darasa la sita mwanafunzi mwenzetu aliiba box la kalamu lote tena la mwanafunzi aliyekua mtoto wa mwalimu ikapita msako mkali hazikupatikana mwalimu akasema kesho asubh wote tuandike jina la mtu unaemhisi
Basi jioni tukajipanga wanaume kadhaa kama kumi na saba tukashauriana tuende kwa bibi mmoja ni mtaalamu huyu jamaa aliyeiba tutampata fasta
kikundi kikatimia tukatoroka moja kwa moja safari ikaanza tufafika kwa mtaalam na sare zetu za shule tukaingia wote kwa pamoja akaanza kutoa misauti yake akatueleza muna shida tofauti au ni moja mmoja akajibu ni moja
akasema haya mmoja aelezee jamaa akatiririka vya kutosha akasema andikeni majina yenu na ya baba yenu na shule mnayotoka kisha munipe ukishanipa unageuka nakuondoka hadi nyumbani kwako huyo mwizi asubuhi atapiga kelele nakuzirudisha mwenyewe sitawatoza hela nawasaidia tu kama wajukuu zangu tukafanya kama alivyosema
kumbe pale jirani kuna mwalimu wetu yupo karibu na yule bibi jioni akamfuata akampa na yale majina asubuh tupo paredi tukaanza kuitwa jina mmoja baada ya mwingine tukijiangalia ni wale wote tuliokuwa kwenye tukio ohoo kilochofuata siwezi ata elezea ngoja niishie tu hapa
na hapo ndipo nilopotokea kuwachukia hadi leoo
Umesema tuliowahi kwenda kwa wganga wa kienyeji tukutane hapa ukimanisha na ww ni mwenyeji huko,tena nunasema hujawahi kwenda hapo hapo unataka tarifa za huko hapohapo unasema hufikiliii kwenda huko,una hakili au una matope ya nn tukupe taarifa ili hali hufikilii kwenda?na haujawahi jipange upya mkuuu.Kila mtu huwa ana imani yake
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
Hahahah nimecheka sanailikuwa ni darasa la sita mwanafunzi mwenzetu aliiba box la kalamu lote tena la mwanafunzi aliyekua mtoto wa mwalimu ikapita msako mkali hazikupatikana mwalimu akasema kesho asubh wote tuandike jina la mtu unaemhisi
Basi jioni tukajipanga wanaume kadhaa kama kumi na saba tukashauriana tuende kwa bibi mmoja ni mtaalamu huyu jamaa aliyeiba tutampata fasta
kikundi kikatimia tukatoroka moja kwa moja safari ikaanza tufafika kwa mtaalam na sare zetu za shule tukaingia wote kwa pamoja akaanza kutoa misauti yake akatueleza muna shida tofauti au ni moja mmoja akajibu ni moja
akasema haya mmoja aelezee jamaa akatiririka vya kutosha akasema andikeni majina yenu na ya baba yenu na shule mnayotoka kisha munipe ukishanipa unageuka nakuondoka hadi nyumbani kwako huyo mwizi asubuhi atapiga kelele nakuzirudisha mwenyewe sitawatoza hela nawasaidia tu kama wajukuu zangu tukafanya kama alivyosema
kumbe pale jirani kuna mwalimu wetu yupo karibu na yule bibi jioni akamfuata akampa na yale majina asubuh tupo paredi tukaanza kuitwa jina mmoja baada ya mwingine tukijiangalia ni wale wote tuliokuwa kwenye tukio ohoo kilochofuata siwezi ata elezea ngoja niishie tu hapa
na hapo ndipo nilopotokea kuwachukia hadi leoo
Wanaume wanajitokeza bila kujishtukia ndiyo maana.... wakati wanawake hawajitokezi kutoa ushuhudaaDooh nimegundua waenda kwa waganga wengi kumbe ni wanaume,kumbe nanyi mmo lkn hamvumi ,Mungu tuepushe na wanaume wa namna hii lol[emoji23][emoji2]
Nipe namba ya uyo babuMimi nimeanza kuhudhuria kwa babu nimwezi wa tatu sasa na matatizo yangu yametatuliwa on sport,nilikua nikiandamwa na majanga ambayo yalikua nje ya uwezo wangu ikafikia hatua kwamwezi napata hasara inayozidi kipato kwamaana kwamba badala ya kusonga mbele nikawa narudi nyuma tena kwahatua ndefundefu,baada ya kumpata mtaalam huu ni mwezi wa tatu naelekea mwezi wanne bila majanga hivyo hawa kina Mshana jr wanamsaada wao
Viongozi wa dini wengi tu wanaenda kwa waganga kuongeza nguvu na kuogopwa na waumini wao....sema wao huduma yao wanapewa kwa usiri sana na wanajuana vizuri tu kuhusu tabia zao.Uchawi upo na uganga upo.....na hata hao viongozi wa dini wengine waganga wanajificha kwenye kivuli hicho cha dini na mnaenda......lakini pia muelewa uganga ni mpana sana......au ndo akifanya mganga ni uchawi lakini akifanya kiongozi wa dini ni miujiza.......