mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,336
Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tuHahahaa jamaa yangu alifanya vituko sana Durban mpaka nikamkimbia kwenda Port Elizabeth kuogopa asije shtukiwa halafu mi ni rafiki yake..