Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.

Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .
Sasa wazazi wepi tena si ndo ao ao au?
 
Maisha haya kila mtu ana Siri zake nilishawahi kwenda mdogo wangu alikuwa Mgonjwa hospitality wenyewe walishauri tuanfalie njia nyingine. Ndiyo tulienda huko
 
GOOD!
 
Nimewahi Kwenda kwa Mchanga kwa matatizo mawili matatu ya kimaisha ila kila nikienda kwa mganga usiku lazima nimuone anakuja kuniloga namtoa nduki mwisho nikaamua kuacha Kwenda maana nilijiona mie ndio mganga hata mganga mwenyewe haniwezi
 
Rekebisha maelezo yako sasa kama hujawahi kwanini useme tulio wahi! Sema mliowahi kwenda kwa waganga njooni hapa. Inavyoonesha wewe ni mmoja wao wa kwa hizo imani ila umeamua ujitoe bila kujijua ukakosea kuandika.
 
Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.

Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .
Sasa si bora huyo Sangoma niliwahi kwenda kwa mchungaji fulani tegeta ni mama hivi katika mazungumzo yetu aliniambia eti matatizo yangu yanatokana na jina langu Hahahaha nilicheka sana kimoyomoyo mchungaji anatoa ushauri wa kigangaganga Hahahaha akaniombea pale wapjii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…