BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Sasa wazazi wepi tena si ndo ao ao au?Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.
Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .
Bila kusahau wanasiasaHili swali lingejibiwa vizuri na viongozi wa timu za Simba na Yanga.Wana uzoefu hatari
Haaaa haaaaBila kusahau wanasiasa
Sio mpigaji tu...wanawake tumewala sana kwa mtindo wa kumtia dawa tumboni...akija kishtuka ana mimba ta mgangaKka ulikiwa mpigaji nini?, na kija Jakob, Fortu, Ivan, Lyambaa?
Mganga wa kweli pesa tuWakati huo ushavurugwa bro.unataka kurudisha penzi.ukiangalia demu ameanza kutoka na jamaa mwenye hela.wewe kakumwaga.inauma sanaaa.
GOOD!Niliwakuta wanafanya mazingaombwe mara wakatupaka dawa ili tuone miujiza yao. Hapo niko kidato cha tatu.
Hawakufanya tuone kitu badala yake wakasema kila aliyepakwa dawa awafuate au wakivimba mikono baadae wasijelaumu.
Mie huyoo nikaunga tela kuwafuata huko uchochoroni ngarenaro hadi walipokuwa wana 'ofisi' yao.
Kuna dada akaingia nikasikia analalamika yeye ni housegirl na bosi anamnyanyasa hivyo anaomba bosi atengenezwe.
Kuna mzee akaingia nikasikia analalamika amezulumiwa shamba hivyo waliomzulumu watengenezwe.
Wakaendelea watu wengi mie bado naogopa.
Ikafika ndo nimebaki wa mwisho nikaingia. Nikakuta jamaa amekaa kitandani kumejaa maburungutu ya hela na matungyli na hirizi kadhaa. Akaniuliza nataka nini nikamwambia sina shida yeyote ila kwa kuwa wamesema aliyepakwa dawa aende na mie ndo nimefika.
Akanihoji endapo ningetaka fedha kwa ajili ya shule. Nikamwambia sihitaji maana sitakuwa na jibu la kuwapa wazazi kuhusu nilipotoa. Akaniambia niweke sikio kwenye moja ya tunguli nisikilize mizimu inasemaje. Nikatega sikio huku kichwa kimemuelekea yeye hivyo siwezi kumuona. Mara nikasikia sauti zisizoeleweka nikataka kutoa sikio akanishikilia kichwa. Nikawa nahojiwa na mizimu kama inisaidie kufaulu n.k kisha nikasikia kama inasema niweke hela niliyo nayo pale. Nikageuka kwa kasi nikakuta jamaa ana microphone mdomoni ikabidi niipotezre kama sijaona kitu maana kwa watu pale. Ikabidi niseme sina hela isipokuwa mia mbili tuu. Basi nikaiweka hiyo miambili na kusepa.
Hadi leo siamini katika uganga.
VwahahahaNiliwahi kwenda kwa sangoma kutaka kubadili roho mbaya ya bwana yule iwe nzuri,akanipa masharti ya kupeleka mbuzi wa kijani mwenye mistari ya njano,bado namtafuta mbuzi
Rekebisha maelezo yako sasa kama hujawahi kwanini useme tulio wahi! Sema mliowahi kwenda kwa waganga njooni hapa. Inavyoonesha wewe ni mmoja wao wa kwa hizo imani ila umeamua ujitoe bila kujijua ukakosea kuandika.Kila mtu huwa ana imani yake
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
Hahahaa jamaa yangu alifanya vituko sana Durban mpaka nikamkimbia kwenda Port Elizabeth kuogopa asije shtukiwa halafu mi ni rafiki yake..Kwa tuliyoyafanya south africa...kwa mganga nitakwenda KUSOMEWA TU DUA... na sio RAMLI au TUNGULI
Sasa si bora huyo Sangoma niliwahi kwenda kwa mchungaji fulani tegeta ni mama hivi katika mazungumzo yetu aliniambia eti matatizo yangu yanatokana na jina langu Hahahaha nilicheka sana kimoyomoyo mchungaji anatoa ushauri wa kigangaganga Hahahaha akaniombea pale wapjiiJirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.
Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .