Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Nikiwa kama international step dad nasema ingia kwenye uhusiano na single parent kwakua unampenda na siyo kwakua unamuonea huruma na unafanya payback.

Ni sawa Mkuu, kwahiyo unataka kunambia kwa idadi ya single mothers waliopo atakosa kweli wa kumpenda ? Watakuwepo Mkuu ila sema mtizamo hasi juu ya wenzetu hawa. Tuwapende na tuwaoe kama ikitokea umepata mmoja akaonyesha utayari
 
Wee jamaa bwana yaani kisa mama zetu walifanya umalaya na kuzalishwa na kuachwa ndio na sie tukafanye ujinga wakuoa single maza?

Kosa ni kosa tuu ata kama kafanya mama yako au baba yako. Mambo ya kusema watoto wanalelewa na nguvu za mungu huo ni ujinga tuu maana kwanza huyo mungu mwenye ulisha mkosea kwa kuzaa nje ya ndoa.

Last but not least usingo maza mwingi ni kiherehere chao na umalaya wao. Wacha wabebe majuto ya dhambi zao.
 

Kwani huyu aliye na mtoto mmoja hawezi kukupatia first born ? Pamoja na kwamba kwake anaweza asiwe first born lakini utamuvwa kumwita first born wako bado upo .
 
Wanawake hawana shukrani ata umfanyie lipi utakuja kuishia kudharaulika tu

Single mother hatuoi hawa ni laana sababu huwa wanalinga sana kipindi wapo mabinti dharau nyingi anaweza akamkataa jamaa mwenye nia ya kuoa kisa anadate na Mme wa mtu

Single mothers sio laana Mkuu, hawa watu ni wasikivu sana na wametulia asikuambie mtu. Tuliza akili utapata mtoto mzuri kabisa, kuna watu mimba zimeingia kibahati mbaya kama vile tu mnavyowapelekea mioto hawa ambao hawajao na wao ilitokea hiyo ishu sidhani kama walitaka.
Lakini kingine ndugu yangu, Single mothers unakuwa unahakika wa kuwa na mtoto maana tayari amesha ichallenge uterine yake. Single mother are very beautiful and nice women than the way we know em, let’s do something special for our girl.
 
Wanawake hawana shukrani ata umfanyie lipi utakuja kuishia kudharaulika tu

Single mother hatuoi hawa ni laana sababu huwa wanalinga sana kipindi wapo mabinti dharau nyingi anaweza akamkataa jamaa mwenye nia ya kuoa kisa anadate na Mme wa mtu

Sio wote walikuwa wanadate na married men Mkuu, angalia kwa jicho jingine utaona uzuri wa hawa viumbe . Kuna wengine humu wameshazalisha mtoto wa mtu still mtu anakua na guts za kusema maneno hayo, sio poa wakuu.
 
Wangekuwa ni single maza wale wa enzi zile za mama zetu sawa ila hawa wa twenti senchuali my dear brother utapata heart attack ambayo hujawai ipata tangu uzaliwe

[emoji28][emoji28][emoji28]Kwanini Mkuu ??
 
Kama umepata mwanamke anamtoto muache bro. Acha kujifariji ujinga. Mechi ianze bilabila

Sijapenda Mkuu, ila nimeliona hili suala vile ambavyo sisi wa kiume tumekuwa tukiwawanyooshea kidole sana hawa dada zetu. Alfu kingine, Mechi ya kuanza bila bila hainogi sana eti mpaka useme ni Muhimu sana. Kwanza ukiangalia single mothers wenyewe ndio sisi wenyewe humu humu tumewapiga mimba na wamejifungua ila hatuwataki tena, that isn’t fair at all.
 
Ni sawa Mkuu, kwahiyo unataka kunambia kwa idadi ya single mothers waliopo atakosa kweli wa kumpenda ? Watakuwepo Mkuu ila sema mtizamo hasi juu ya wenzetu hawa. Tuwapende na tuwaoe kama ikitokea umepata mmoja akaonyesha utayari
Sina tatizo na kuoana na single parent isipokua msingi wa ndoa usiwe kuoneana huruma
 
Kama umepata mwanamke anamtoto muache bro. Acha kujifariji ujinga. Mechi ianze bilabila
Na ww usijifariji na kuanza bila bila halafu mechi inaisha na magoli matano wakati umefunga moja, nne zote si zako. Malaya ni malaya tu hata mpira ukianzia kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…