Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kwa Wale waaotaka Kiatu kisicho ingia Maji hicho hapo Timberland Boot Dollar 200. Ukikitaka nione mimi.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mzizi mkavu hiyo safety boot ya cat nimeipenda sana..ma engineer wengi wa kibongo tumezoea kuvaa safety midosho za kariakoo.kwa namna hiyo ilivyokaa unaweza kwenda nayo site hata kulia bia calabash pia inanata mzuka tuu
Mkush njoo nkuuzie boot from RED WING inahimili vishindo vyote.
Hiyo mkuuMkuu bravo hyo boot ni safety boot??ni aina gani na rangi gani?kigezo cha bei kizingatiwe tafadhali
Sio Rahisi huwezi Kupata hivyo viatu hapo Tanzania FaizaFoxy NNchini Tanzania mnapata Viatu toka china sio kutoka Ulaya hamuwewezi kuvinunuwa viatu toka ulaya bei yaek ni kubwa.
![]()
Mmmhhh kwa namna nilivyoiona hiyo safety ni kama hata wewe nakujua vyema.....nakucheki PM mwanamayi..