Ha ha ha nimekubamba ila najua unavaa namba kubwa mwanawani hiyo ni namba 6.usilete kujuana cha msingi fweza
Ukikona kiatu cha Timberland kinauzwa kwa bei ya Elfu 70 ujuwe hicho ni kiatu feki. Labda ni kiatu cha Mchina hicho sicho kiatu cha Timberland chenyewe hakiuzwi kwa shillingi Elfu 70. Mkuu ElungataHicho cha pili atleast.
lakini timberland mbona hata kwa alfu 70 madukani kipo.
Si bora ukamnunulie yule fatuma bia moja?😉😉
Huyo Msanii hana pesa Elfu 90 ndio anajisifia Eti amevaa kiatu cha Timberland ? Labda Timberland ya Mchina huyo sio Mwenyewe Timberland Msanii huyo inaonyesha hana pesa Mkuu mshana jr Angalia hiyo ingine Kiatu cha CATERPILAR Vaa Kiatu ili watu wakuone umevaa kiatu Sio uvae kiatu hakina jina Kiatu feki.Naelewa MziziMkavu nilikuwa nachagiza tu jukwaa, sina tatizo na bei kama kitu ni kiwango na mfuko unaruhusu! Nina shida na yule atakayetaka kuishi maisha yasiyo halisi au maisha ya gharama yasiyolingana na kipato chake
Siku moja wayback 2010 msanii mmoja akihojiwa akawa anatamba kuwa kavaa vitu vya gharama, kiatu ni Timberlake, unajua alitaja bei gani 90,000!!!!
Huyo Msanii hana pesa Elfu 90 ndio anajisifia Eti amevaa kiatu cha Timberland ? Labda Timberland ya Mchina huyo sio Mwenyewe Timberland Msanii huyo inaonyesha hana pesa Mkuu mshana jr Angalia hiyo ingine Kiatu cha CATERPILAR Vaa Kiatu ili watu wakuone umevaa kiatu Sio uvae kiatu hakina jina Kiatu feki.
MAVIATU makubwa makubwa mpaka leo kuna watu wanavaa,uzito wote huu,nikikutana na mtu amevaa namuonaga mshamba
MAVIATU makubwa makubwa mpaka leo kuna watu wanavaa,uzito wote huu,nikikutana na mtu amevaa namuonaga mshamba
Haviingii maji ndani ukivaa utajisikia mwenyewe raha na viatu sio vizito kama watu wengine wanavyozania. Ukinunuwa hicho kiatu kwa huko kwetu baada ya miaka 5 ndio unaweza kufikiria kununuwa kiatu kingine kinadumu muda mrefu sana hichi kiatu ni imara sana JerrymsigwaSwali moja tu; sasa kama maji hayapenyi hewa je? Na jasho itatokea wapi sasa?
Huwezi kupata Timberland chini ya 200,000/- Tanzania. Zote hizo ni fake products, zilizobaki mitumba.Huijui Tanzania na huijui Ulaya, wewe hapo Uturuki ni kama kipofu aliyeona punda.
Ukikona kiatu cha Timberland kinauzwa kwa bei ya Elfu 70 ujuwe hicho ni kiatu feki. Labda ni kiatu cha Mchina hicho sicho kiatu cha Timberland chenyewe hakiuzwi kwa shillingi Elfu 70. Mkuu Elungata