Kwa Wale Vijana Wanaopenda Kuvaa Kiatu kisichoweza Kuingia Maji Timberland Boot

Ukikona kiatu cha Timberland kinauzwa kwa bei ya Elfu 70 ujuwe hicho ni kiatu feki. Labda ni kiatu cha Mchina hicho sicho kiatu cha Timberland chenyewe hakiuzwi kwa shillingi Elfu 70. Mkuu Elungata

broda jambo uclolijua litakusumbua. mimi nimekuwa naviuza hivi viatu huu ni mwaka wa 9 mwanzo tulikuwa tunachukulia USA then tukawa tunachukua London ndio tukaenda korea kisha leo hii ni china. nikusaidie tu kukwambia asilimia kubwa ya nguo na viatu vinavyouzika ulaya na marekan vinatoka China, Bangladesh India na Turkey na Viatenam. vile viatu ni kweli kuna jins vimetofautianauimara lakin sio kiihivyo. tofauti ni elfu 10 mpaka elfu 20 za Kitanzania. ukiona unauziwa bei gali ulaya ujue ni mazingira wanauzia. mfano suala la kodi wanavyowalipa wafanyakazi na uchum wao kwa jumla. mfani kiatu hicho hicho kikiwa mwenge hapa dar bei yake ni tofauti na kukiuzia pale posta. ukitaka kujua wazungu wanavyoweka oder ya viatu nenda mji wa Fujiang china ndio utajua.
 
Last edited by a moderator:
Wewe unazungumzia mambo ya kizamani ina maanisha wewe mzee havikufai hivi

viatu. Viatu ukiona vinatoka China kuja huko Tanzania ujuwe hivyo viatu ni vya Grade 3

Wachina hawawezi kutengeneza Kiatu cha Grade namba 1 halafu wakilete hapo nchini Tanzania

ni nani anayeweza kukinunuwa? Labda Rais au Wabunge au wafanya Biashara wakubwa watoto

zao. zaidi ya hapo mlala hoi anaweza kulipa Dollar 300 Sawa sawa na Pesa za KiTanzania Shillingi laki 4 na Elfu 90 anunuwe kiatu wakati nyumbani kwake

anashindia kula Ugali wa Dona na mboga ya mchicha? Amka kaka yangu kitali Ninakuona

upo bado usingizi mzito Usifananishe Maisha ya Watu wa Ulimwengu wa Kwanza Watu wa

Ulaya na Amerika ukafananisha na Watu wanaoishi katika Ulimwengu wa mwisho ulimwengu

wa 3 wa nchi za Afrika kuwa ni watu wako sawasawa Kimaisha Amka kaka yangu acha usingizi mzito.
 
Mkuu motsepe Mwambie huyu Mshamba Mkuu faizaFoxy yeye kila kitu anabisha hajuwi kuwa ni kitu cha kawaida kunuwa kiatu kwa dollar 250 au hata zaidi kwa huku Ughaibuni.
MziziMkavu you don't have to argue with that smalltime opportunist, you will waste your precious time and energy..... She is a victim of inferiority complex syndrome
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu you don't have to argue with that smalltime opportunist, you will waste your precious time and energy..... She is a victim of inferiority complex syndrome
Mkuu mshana jr nimekuelewa Siwezi kushindana mtu asiyekwenda shule asante kwa ushauri wako hichi Kiatu ninatak nikinunuwe nimletee Mwanangu huko unakionaje Mkuu?

 
Last edited by a moderator:

ahahahah mkuuuu mbavu zanguuu daaaa,,,,,umenifanya nicheke sana...................so aende LUBUMBASHI
 
Mkuu mshana jr nimekuelewa Siwezi kushindana mtu asiyekwenda shule asante kwa ushauri wako hichi Kiatu ninatak nikinunuwe nimletee Mwanangu huko unakionaje Mkuu?


Kimetulia mno ila itabidi achague maeneo ya kukivaa maana...!!!
 
Last edited by a moderator:
Anakaa huko huko unako ka wewe Mabibo watamnyang'anya? Mkuu mshana jr

Sio mabibo tu kiongozi manyang'au wapo kila kona ya mji siku hizi tena afadhali huku uswahilini, huko uzunguni watu wanapigwa vitasa na kuporwa kinyama kwakuwa mitaa kule iko kimya sana na kila mmoja ana hamsini zake
 
Last edited by a moderator:
Sio mabibo tu kiongozi manyang'au wapo kila kona ya mji siku hizi tena afadhali huku uswahilini, huko uzunguni watu wanapigwa vitasa na kuporwa kinyama kwakuwa mitaa kule iko kimya sana na kila mmoja ana hamsini zake
Dares-Salaam ya miaka 1990 niliyoiacha mimi siyo Dares-salaam ya mwaka 2014 ukabaji kila kona ? Utafikiri Mupo Mji wa NEW YORK Marekani? mkuu mshana jr Mji umeharibika bora niende Mjini Arusha kusihi kuliko kukaa hapo mjini Dares-Salaam.
 
Last edited by a moderator:
Dares-Salaam ya miaka 1990 niliyoiacha mimi siyo Dares-salaam ya mwaka 2014 ukabaji kila kona ? Utafikiri Mupo Mji wa NEW YORK Marekani? mkuu mshana jr Mji umeharibika bora niende Mjini Arusha kusihi kuliko kukaa hapo mjini Dares-Salaam.

Hakuna penye afadhali MziziMkavu, solution ni kufanya overhaul ya system nzima mambo yatabadilika kwa kiasi fulani
 
Last edited by a moderator:

Jana tu nimechukua hiyo kitu kwa €95
 

Attachments

  • 1413185039959.jpg
    41.3 KB · Views: 128
Last edited by a moderator:
Mkuu motsepe Mwambie huyu Mshamba Mkuu faizaFoxy yeye kila kitu anabisha hajuwi kuwa ni kitu cha kawaida kunuwa kiatu kwa dollar 250 au hata zaidi kwa huku Ughaibuni.

Ewe punguani, mimi navaa matarawanda, bora kuliko kiatu chochote kile. Kamuulize bibiyo atakwambia matarawanda ni nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…