Kwa wale wa mikoani, ukija Dar ni sehemu gani piga ua lazima uende?

Kwa wale wa mikoani, ukija Dar ni sehemu gani piga ua lazima uende?

fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒

fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒
Forty forty ishajifia kitambo.

Pembeni Kuna small planet na opposite Kuna club nimeisahau jina.
 
Sasa nipo dar Ila kila siku lazima niende kimboka piga uwa galagaza Yani hata nikiambiwa wale madada Poa hawapo wamekimbia kwaajili ya dolia ya police basi lazima niende nikahakikishe..
 
Kwa aziz Ali....kuna jamaa anpika urojo mtamu sana pale
 
Baada ya Mfumo kunitenga na jiji la ndoto zangu nikawa Sina namna zaidi ya kukubali. Ila huwa napambana isipite miezi miwili sijakanyaga town na kila napofika aisee vijiwe vyangu vya faida ni:-

1. Tabata Magengeni
2. Kimara Korogwe-Tabata Kimanga
3. Tabata kimanga-Ubungo Riverside via Jeshini Road
4. Kariakoo(hii angalau kila mtu)
5. Mbezi Makonde
6. Kivule

Hio ndo mitaa ambayo nina masela wengi wa kutulia nao mitaa mingine siielewi

Je, wewe lazima ukasaini wapi iwe umekuja kikazi,kibinafsi au kwa dharura?
Mi ni Sinza na Tabata kwa ajili ya mademu wa short time tu kwani huko ndiko kuna wanawake wa ukweli na wa maana
 
Back
Top Bottom