sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
Yaani miaka ya nyuma kama 10 years ma kurudi nyuma cha kwanza ni kufika coco beach ...still coco beach bado ni kivutio kwa watu wa mikoani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakupeleka andaa tarehe tu...
kisha utalipia😅Nitakupeleka andaa tarehe tu...
Bill yangu yes nitalipiakisha utalipia😅
fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒
Forty forty ishajifia kitambo.fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒
dah aise kumbe ndio maana moyo unasita kwendra kusamilia ee pale ee 🐒👊Forty forty ishajifia kitambo.
Pembeni Kuna small planet na opposite Kuna club nimeisahau jina.
pokea wageni vizuri na wewe ukija arusha je?Bill yangu yes nitalipia
Yako utalipia mwenyewe
😬😬 Salam za mama Kizimkazi, ni mwendo wa maelekezoHatimae mfumo umekurudisha kwenu
Hauwezi kumaliza mihogo ya elfu 5 nitakulipiapokea wageni vizuri na wewe ukija arusha je?
Ndo wapi hapo?wanakojiuza wachina
Mi ni Sinza na Tabata kwa ajili ya mademu wa short time tu kwani huko ndiko kuna wanawake wa ukweli na wa maanaBaada ya Mfumo kunitenga na jiji la ndoto zangu nikawa Sina namna zaidi ya kukubali. Ila huwa napambana isipite miezi miwili sijakanyaga town na kila napofika aisee vijiwe vyangu vya faida ni:-
1. Tabata Magengeni
2. Kimara Korogwe-Tabata Kimanga
3. Tabata kimanga-Ubungo Riverside via Jeshini Road
4. Kariakoo(hii angalau kila mtu)
5. Mbezi Makonde
6. Kivule
Hio ndo mitaa ambayo nina masela wengi wa kutulia nao mitaa mingine siielewi
Je, wewe lazima ukasaini wapi iwe umekuja kikazi,kibinafsi au kwa dharura?