Kwa wale wa mikoani, ukija Dar ni sehemu gani piga ua lazima uende?

fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒

fortyforty trabatra bima rakini pia zhakiem bar na pale zhakiem uwanjani kwenye vitrimotro vya haja aisee...🐒
Forty forty ishajifia kitambo.

Pembeni Kuna small planet na opposite Kuna club nimeisahau jina.
 
Sasa nipo dar Ila kila siku lazima niende kimboka piga uwa galagaza Yani hata nikiambiwa wale madada Poa hawapo wamekimbia kwaajili ya dolia ya police basi lazima niende nikahakikishe..
 
Kwa aziz Ali....kuna jamaa anpika urojo mtamu sana pale
 
Mi ni Sinza na Tabata kwa ajili ya mademu wa short time tu kwani huko ndiko kuna wanawake wa ukweli na wa maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…