Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wako njiani wanakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa bas sawa!!Unapandisha
sidhani wamachame wanaanzia lyamungo huku na kwenda machame nkuu huko, mpaka unatokea makoa na kuifuata machame yenyeweSio Machame?🤔
Jirani kabisaAhaaa bas sawa!!
Mm ni mwenyej wa maeneo hayo nanjara, kasirwa, namfua, forest
Wachaka wose chamecheni, wandu wa kaaChamecha Lanyee!!
Yep yep kule ndo kuliponikuza aseeh 👊Jirani kabisa
Mazingira safi mnoYep yep kule ndo kuliponikuza aseeh 👊
Uru Mawela.Uru shimbwe
sana aseeh...... Nyumbn kule always nakutangaza niwe popote hapa TanzaniaMazingira safi mno
Narumu ni huku machame kabisa au na hiyo rau kama sii Moshi vijijin ni mjini nadhaniTurudi pale Rau Madukani mkuu hii nayo ipo Narumu au?
Aika saa nku kui??Wachaka wose chamecheni, wandu wa kaa
Ntakutembelea mkuusana aseeh...... Nyumbn kule always nakutangaza niwe popote hapa Tanzania
Uru West, East, Materuni, Shimbwe, Mruia..Sisi wa Uru Kishumundu tuna comment wapi?
ekaa na aika ni tofaut kwaniAika saa nku kui??
Karibu sana kwa sasa nipo DsmNtakutembelea mkuu
Mnama unasema jee sijakupata ujueAika saa nku kui??
Shiwore tofauti voo, nyi uandishi tupu.ekaa na aika ni tofaut kwani
Anhaa sawasawaNarumu ni huku machame kabisa au na hiyo rau kama sii Moshi vijijin ni mjini nadhani