Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,358
Habari zenu wapendwa!!....... Kama mnavyoona tetesi zilivyonyingi kuhusu ajira za walimu mwaka huu,ni mwendo wa danadana tu na kupigwa karenda ila hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho,subira yavuta heri!! Ndo mambo ya serikali yetu hayo hatuna budi kuwa wavumilivu(esp for those who lost opportunities)anyway................. Lengo la uzi huu ni kupeana mauzoefu tu juu ya changamoto tutakazokumbana nazo huko vituoni hasa kwa siye fresh from schools siyo mbaya kama nyie walimu wazoefu mkatujuza ama kutuambia walau jinsi ya kujipanga na kukabiliana na changamoto hizo huku tukiendelea kusubiri badala ya kuilaumu serikali ama kulalamika humu hadi wengine kutukana mitusi loh! mana hapa nshatishwa miye ooh mshahara hadi miezi 6!! Sijui unaenda kukaa kwa mwenyekiti wa kijiji sijui mwalimu mkuu jamani!! Hakuna kuhama na blah blah kibao haki ya nani!!............... So ningependa tuambizane hapa which is which?.......Karibuuni saana walimu wenzangu(angalau tuliwazane kipindi hiki)(simu yangu haina paragraph mtanisamehe)