Ohoo heshima yako mkuu na appreciate sana mpaka hapoWatoto wako sekondari mkuu
Tunamaliza wkend kwa kuchat tuComment ziwe fupifupi msianze kuchat sasa!!
Kuna mada ngoja waunganishe mkuu
Uje na majibu mazuriNimecheka sana, bahati nzuri mjumbe auwawi
Midomo inakuwa mizito kuongeakumbe watu mnatamaniana na hamsemi
Tatizo ni wabishi sanaUwanja wa masingo, pambaneni ipo siku mtatoboa.
Haina shida mkuu; namuona kwa mbali anatazama uziUje na majibu mazuri
Ana uzi mmoja wa kibabe, ila ni wa zamani kidogoMm namtamani Mwanamke Mmoja anaitwa ......Faiza Fox
Hicho ndio kinachowafanya, waendelee kuwa singo πWatu wapo very technical, hutawasikia wakitaja wazi, ila moyoni wanataja..teeeh!
Tatizo sio wao, tatizo ni upwekeTatizo ni wabishi sana
Nilikua nangoja unitaje πNgoja mkutane na vitu vya kutisha.
π€£π€£π€£ Endelea kungoja.Nilikua nangoja unitaje π
Ningelikuwa sijazeeka, ningelikutamaniNgoja mkutane na vitu vya kutisha.
Dah hadi lini sasa ππ€£π€£π€£ Endelea kungoja.