Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

UNGANENI MKUTANE SEHEMU NENDEN PALE AKIBA WIZARA YA KAZI MJADILIANE BAADA YA SIKU 90 NXTY WAWEKE WAZI MAFAO YENU...NANYI N BINADAMUUUU
 
Mkuu, mimi nimegundua watu wengi wanafuata maneno ya mitandaoni na hawajui kinaendelea nini,,,wengi wanasema USAID imefutwa, kitu ambacho sio kweli, watu watunze maneno baada ya siku 90 sijui wataficha wapi sura zao shughuli zikiruhusiwa kuendelea.
 
Badala mpambane na umasikini hadi mlioletewa na chama cha majizi miaka 64 hadi mnatembeza bakuli la msaaada hadi wa condom mnapambana na watu waliopata ajira kwa merit ?
 
UNGANENI MKUTANE SEHEMU NENDEN PALE AKIBA WIZARA YA KAZI MJADILIANE BAADA YA SIKU 90 NXTY WAWEKE WAZI MAFAO YENU...NANYI N BINADAMUUUU
Wazo zuri hili
 
Nyama ya shilingi 30,000 huku kwetu ni kilo 1 na nusu tu mkuu. Kwa hiyo unamshauri mwenzio akanunue kilo 1 na nusu ya nyama ili imsaidie nini na watoto wote wale?
 
Hivi hawa MDH ndio wako pale maeneo ya Mikocheni?

Mishahara yao ikoje?
Sijajua mishahara yao ipoje ila namshikaji wangu alipiga social alikua anavimba sana ila nahisi ata scale ya mishahara yao ni 🔥 màaana tumizi la mwana so la kitoto km anatinga mgodini vile
 
Hili jukwaa lina kila kitu, ebu vyeti feki njooni mtoe ushauri kwa hawa watu, jinsi mlivyomudu maisha baada ya kukatiliwa mbali na shujaa Magufuli.
Hivi si nimesikia wamerudishwa makazini wa vyeti feki
 
Ukifanya private sector lazima uwe na backup plan atakama u unalipwa pesa nyingi. Uwezi kujua ya kesho yanakuwaje kuna jamaa wapo shirika la ukimwi naona kila mmoja anapambana kuwekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…