Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

UNGANENI MKUTANE SEHEMU NENDEN PALE AKIBA WIZARA YA KAZI MJADILIANE BAADA YA SIKU 90 NXTY WAWEKE WAZI MAFAO YENU...NANYI N BINADAMUUUU
 
Direct hires wote wamekua placed kwenye administrative leave, tena ni 90 days miezi mitatu tu, na kitita. Wale ambao ni special function tena wakutumwa si waajiriwa direct wengi wanaendelea na kazi, kama kusambaza dawa au kusambaza vyakula, au zile tasks tofauti.
Sasa kama wewe ni muajiriwa wa mkataba wa USAID na upo upo, unataka kuchomoa hela nssf, uumjinga sana. Na ushauri wako kwa watu wa vitumbua sijui mchele kilo moja, embu acha hizo basi.
Marekani inaangalia uwezekano wakuweka ofisi hiyo vizuri na si retrenchment. Embu katafute waajiriwa ambao ni wachache sana kwa bongo. Sidhani jf watakuwepo. Wakueleze. Na uache story hizi. Kuna mmoja anaitwa salma madini yupo instagram follow kwa bongo hapo. Ana gari lina jina lake kabisa anaishi goba. Nenda akueleze.
Mkuu, mimi nimegundua watu wengi wanafuata maneno ya mitandaoni na hawajui kinaendelea nini,,,wengi wanasema USAID imefutwa, kitu ambacho sio kweli, watu watunze maneno baada ya siku 90 sijui wataficha wapi sura zao shughuli zikiruhusiwa kuendelea.
 
Badala mpambane na umasikini hadi mlioletewa na chama cha majizi miaka 64 hadi mnatembeza bakuli la msaaada hadi wa condom mnapambana na watu waliopata ajira kwa merit ?
 
IMG_20250206_183305.jpg

Ni kilio karibu kwenye kila sh@*thole country.
 
UNGANENI MKUTANE SEHEMU NENDEN PALE AKIBA WIZARA YA KAZI MJADILIANE BAADA YA SIKU 90 NXTY WAWEKE WAZI MAFAO YENU...NANYI N BINADAMUUUU
Wazo zuri hili
 
Nyama ya shilingi 30,000 huku kwetu ni kilo 1 na nusu tu mkuu. Kwa hiyo unamshauri mwenzio akanunue kilo 1 na nusu ya nyama ili imsaidie nini na watoto wote wale?
 
Hivi hawa MDH ndio wako pale maeneo ya Mikocheni?

Mishahara yao ikoje?
Sijajua mishahara yao ipoje ila namshikaji wangu alipiga social alikua anavimba sana ila nahisi ata scale ya mishahara yao ni 🔥 màaana tumizi la mwana so la kitoto km anatinga mgodini vile
 
Ukifanya private sector lazima uwe na backup plan atakama u unalipwa pesa nyingi. Uwezi kujua ya kesho yanakuwaje kuna jamaa wapo shirika la ukimwi naona kila mmoja anapambana kuwekeza
 
Back
Top Bottom