Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, mimi nimegundua watu wengi wanafuata maneno ya mitandaoni na hawajui kinaendelea nini,,,wengi wanasema USAID imefutwa, kitu ambacho sio kweli, watu watunze maneno baada ya siku 90 sijui wataficha wapi sura zao shughuli zikiruhusiwa kuendelea.Direct hires wote wamekua placed kwenye administrative leave, tena ni 90 days miezi mitatu tu, na kitita. Wale ambao ni special function tena wakutumwa si waajiriwa direct wengi wanaendelea na kazi, kama kusambaza dawa au kusambaza vyakula, au zile tasks tofauti.
Sasa kama wewe ni muajiriwa wa mkataba wa USAID na upo upo, unataka kuchomoa hela nssf, uumjinga sana. Na ushauri wako kwa watu wa vitumbua sijui mchele kilo moja, embu acha hizo basi.
Marekani inaangalia uwezekano wakuweka ofisi hiyo vizuri na si retrenchment. Embu katafute waajiriwa ambao ni wachache sana kwa bongo. Sidhani jf watakuwepo. Wakueleze. Na uache story hizi. Kuna mmoja anaitwa salma madini yupo instagram follow kwa bongo hapo. Ana gari lina jina lake kabisa anaishi goba. Nenda akueleze.
Mimi ni rare profession; siguswi na maamuzi ya wanasiasa.Mzee Kichuguu hongera.wewe haujapunguzwa bila shaka.chapa kazi.
Ni ujinga kabisaaHiki kigezo chao nakionaga hakina mantiki hata kidogo,yaani mtu unaadhibiwa kutopewa pesa yako yote kisa una elimu
Na hela yangu nitaipataje?Hapana, kuanzia hapo utapambana na hali yako
Pamoja kakaAsante mkuu
Bora ya hivyo aiseeUSAID na taasisi zingine za USA, hawachangii NSSF ya bongo, Makati yanawekwa USA huko huko, kazi ikiisha unapewa mpunga wako wote! Hakuna cha kulipwa kidogokidogo!
Hivi hawa MDH ndio wako pale maeneo ya Mikocheni?Jamaa zangu wa tohara na MDH hi jmn nawasalimia
Sijajua mishahara yao ipoje ila namshikaji wangu alipiga social alikua anavimba sana ila nahisi ata scale ya mishahara yao ni 🔥 màaana tumizi la mwana so la kitoto km anatinga mgodini vileHivi hawa MDH ndio wako pale maeneo ya Mikocheni?
Mishahara yao ikoje?
Hivi si nimesikia wamerudishwa makazini wa vyeti fekiHili jukwaa lina kila kitu, ebu vyeti feki njooni mtoe ushauri kwa hawa watu, jinsi mlivyomudu maisha baada ya kukatiliwa mbali na shujaa Magufuli.
Umetoboa tayari maisha 😀Mke wangu ni mpare😅😅😅
Mfate inbox naimani atakujuza, alisema ilibidi awe smartUkitumia njia gani ukabeba yote boss?