Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchele debe 35? Labda chenga..!
Halafu unasema una familia ya watoto wanne unakaa mwezi na kupita? 😹
Una utani wewe rudia tena hesabu zako..!!
Kiroba cha unga 8000 kg ngapi kinakaa mwezi na kupita? 😹
Labda km yuko peke yako na mara nyingi anakula nje, ila huo akipika ugali km wa wasukuma week hatoboi 🤣
Ndiomana nimesema huo utakuwa ni ule chenga mixer na mawe mengi…!!Inategemea uko wapi!! Debe ina kilo 20, ukicheza vizuri hadi kwa 30 unapata, mmezoea kununua zile za korie au mama alaska
Unga wa 8000 unafikisha mwezi?? 😹Nimesema baadhi ya vitu na pia inategemea mko wa ngapi, kwangu mwezi unakata vizuri tu
Mzee hivi unaelewa Serikali yako haitoi ajira kwa vijana bali inatoa ajira kwa wazee (Cc: Wasira) sasa a-relax kwa muda gani yaan?Sasa kama wewe ni mwathirika usipanick relax, wewe si wa kwanza kukutwa na hali kama hiyo,
Ndiomana nimesema huo utakuwa ni ule chenga mixer na mawe mengi…!!
Ila mchele kweli grade one hiyo pesa hapati hata mkoani tusidanganyane hapa.
Sasa ulitakiwa uweke wazi ni aina gani ya mchele, 1700 ni chenga na una mawe bwana.!!Yaani huna hela alafu ukatafute grade 1??? Ila wanawake mnarudisha nyuma maendeleo, tena huo sio wenye chenga kwa taarifa yako, huo dukani kwa mangi unauzwa 1700 kwa kg, ww unanunua jumla
Mwisho sifikagi nikiona mwanzo kumejaa mashuduSoma mpaka mwisho
Ulitakiwa uelezee kwamba na hao unaowashauri wasile wanga usiku, pia mchana wasile home..!!Tupo 3, binafsi usiku huwa sili wanga, na mchana huwa sipo