Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Ulitakiwa uelezee kwamba na hao unaowashauri wasile wanga usiku, pia mchana wasile home..!!

Umeona ulivyokurupuka na hesabu zako ๐Ÿ˜น
Kumbe wewe mchana hauli na usiku huli lazima huo unga ukae hata mwaka si hautumiki..!!

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚ Familia wasile eti,
Mchana nnakula kwenye mihangaiko yangu, hata kama nikiwa nnakula hiyo budget inatosha na hata kama haitoshi unaongeza mfuko mwingine ni elfu 8 tu,
Na pia huo ni mfano tu wa manunuzi ya mwezi,
Lazima uwe na pakuanzia,
Mfano kama ulinunua mchele debe na halikutosha inabidi mwisho wa mwezi uongeze kiwango,
 
Naona mmeanza kufundishana maisha.. sasa hivi kula kwa mrija hakupo tena hadi litimie lile neno mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe..
 
Umejileta vizuri, kwa kukusaidia Mbeya hakuna mchele wa 35000. To yeye nkamu eti Mbeya mchele debe shingapi?

Hapo unataka kujichanganya sasa, mimi nnaagiza kamsamba sio kyela kwenu wanyachu, debe la mpunga 8000, una swali?
 
Naona mmeanza kufundishana maisha.. sasa hivi kula kwa mrija hakupo tena hadi litimie lile neno mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe..

Umeona eeh, ujitafute kwanza, ukijipata kanunue mchele wa pakiti korie
 
Hapo sawa km mfano na kuna kuongeza mwingine..!!
 
USAID na taasisi zingine za USA, hawachangii NSSF ya bongo, Makati yanawekwa USA huko huko, kazi ikiisha unapewa mpunga wako wote! Hakuna cha kulipwa kidogokidogo!
Naona umekomenti kwa ujasiri na kwasauti kubwa sana kijana....๐Ÿ˜œ
Sasa kwa taarifa yako, mashirika yapo yalio kua yanachangia hadi 20% of the gross salaries za watumishi wake...๐Ÿคจ
 
Hapo unataka kujichanganya sasa, mimi nnaagiza kamsamba sio kyela kwenu wanyachu, debe la mpunga 8000, una swali?
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น kamsamba ipi? Wewe huko napajua na hiyo bei haipo.!!
Tufanye sawa debe 8000 kukoboa na kusafirisha shingapi na kwenye debe unapata kiasi gani?
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น kamsamba ipi? Wewe huko napajua na hiyo bei haipo.!!
Tufanye sawa debe 8000 kukoboa na kusafirisha shingapi na kwenye debe unapata kiasi gani?

Kamsamba ni moja tu, kupitia mlowo, itaka, mwanjelwa

Kwa haraka hara debe mbili za mpunga unapata debe la mchele (zingatia neno kwa haraka ila ni chini ya debe 2), mimi debe moja elfu 5 limenifia hapa, ila huwa nnaagiza zaidi ya debe 1
 
Mkuu kwanini usinichukue na mimi mdogo wako nikusaidie kuwachambisha hao wazee wa huko mtoni ili tupunguze ugumu wa maisha mtaani.๐Ÿ˜
Nae muongo dola elf 80 hajawahipo kuiona aseme kwa saa ni dola 20 x 12 mara ela ya madafu bt huwezi kupata dola elf 80 kwa saa ww www using open
Mkuu kwanini usinichukue na mimi mdogo wako nikusaidie kuwachambisha hao wazee wa huko mtoni ili tupunguze ugumu wa maisha mtaani.
 
Mkuu kwanini usinichukue na mimi mdogo wako nikusaidie kuwachambisha hao wazee wa huko mtoni ili tupunguze ugumu wa maisha mtaani.๐Ÿ˜

Una hoja usikilizwe
 
Mbona hiyo ni balaa sasa
Mwanzoni pesa zilikuwa zinawekwa bongo, shida inakuja pale unapostaafu, njoo kesho zikawa nyingi, America akaona huu ni upuuzi, watu wanairumikie kwa much mrefu, wastaafu harafu wazungushwe kuhusu mihela Yao, ! Akajitoa faster
 
Kwanza unapo sema 33% unamaanisha ni aina gani ya mafao..??
 
Mwanzoni pesa zilikuwa zinawekwa bongo, shida inakuja pale unapostaafu, njoo kesho zikawa nyingi, America akaona huu ni upuuzi, watu wanairumikie kwa much mrefu, wastaafu harafu wazungushwe kuhusu mihela Yao, ! Akajitoa faster

Sheria ya Tz inakataa, wafanyakazi wote wanapaswa kuchangia hapa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ