Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kuna Idara ya Public Policy hapa chuoni kwetu ilikuwa inatoa scholarships nyingi sana kwa nchi za Afrika, Caribbean, Amerika ya Kusini na Asia kwa kutumia sponsorship ya USAID ili kuwafundisha walengwa namna ya kuongoza jamii zao kwa ufanisi na vile vile kuwapa influence ya Marekani hata watakaporudi makwao. Jana nimesoma barua ya mkuu wa chuo kuwa idara hiyo itakuwa streamlined na hivyo wale wataalamu African Studies, Asian Studies, Caribean Studies, Andean na Amazonian Studies wajiandae kuagwa; watapunduzwa zaidi ya kumi.

Aisee ni pigo kubwa
 
Me mwenzio sijafikia umri wa kustaafu Ila nilipata family issue ikaniweka mbali na ajira wakanisimamisha kazi. Nina mishe zangu huwa nafanya Ila kwa vile ile ni fedha ni halali yangu naenda ichukua

Kweli kabisa muhimu kuchukua
 
Huu Uzi umenikumbusha kufwatilia HeLa yangu nssf ya kukosa ajira
Unamwachia nan? Mm nilichukua yote hata 0 haikubak yaan yote mwanzon nilijua watanipa kwa asilimia 33 ila nikawa smart nikabeba yote...pambana uchukue ufanye mambo yako
 
Back
Top Bottom