Kuna Idara ya Public Policy hapa chuoni kwetu ilikuwa inatoa scholarships nyingi sana kwa nchi za Afrika, Caribbean, Amerika ya Kusini na Asia kwa kutumia sponsorship ya USAID ili kuwafundisha walengwa namna ya kuongoza jamii zao kwa ufanisi na vile vile kuwapa influence ya Marekani hata watakaporudi makwao. Jana nimesoma barua ya mkuu wa chuo kuwa idara hiyo itakuwa streamlined na hivyo wale wataalamu African Studies, Asian Studies, Caribean Studies, Andean na Amazonian Studies wajiandae kuagwa; watapunduzwa zaidi ya kumi.
Sheria ya Tz inakataa, wafanyakazi wote wanapaswa kuchangia hapa hapa
Inategemea mradi, USAID inafadhili miradi ya aina nyingi mkuu...wao hawakai na maboxi ya dawa...Kuna contractors na watu wanapata tenders na kulipwa na USAID.Sema wanaweza kusepa na maboksi yaliyoko store
Inasikitisha Mkuu....Hela ndefu ndo 1.8?😃😃
Mkuu itategemea alikuwa na nini anafanya nje ya kazi yake, sema imekuja ghafla, lakini sio mwisho wa maisha!Kuna mwamba alikua anakunja 6m,sijui itakuaje huyu?
Trump kauwa watu huku TzMkuu itategemea alikuwa na nini anafanya nje ya kazi yake, sema imekuja ghafla, lakini sio mwisho wa maisha!
Asiione hii comment aisee🤣🤭Eti yeye anasema debe 35 😹
Huyu hata matumizi nna wasiwasi home kwake hatoi yupo kutuchosha tu hapa.!!
Unamwachia nan? Mm nilichukua yote hata 0 haikubak yaan yote mwanzon nilijua watanipa kwa asilimia 33 ila nikawa smart nikabeba yote...pambana uchukue ufanye mambo yakoHuu Uzi umenikumbusha kufwatilia HeLa yangu nssf ya kukosa ajira
Uliwashawishi vipi au ulitumia njia gani hadi wakakubali kukupa yote?Unamwachia nan? Mm nilichukua yote hata 0 haikubak yaan yote mwanzon nilijua watanipa kwa asilimia 33 ila nikawa smart nikabeba yote...pambana uchukue ufanye mambo yako